Agrey998
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 398
- 518
Tofauti na nchi zilizoendelea ambapo uwekezaji wa makampuni ya bima katika masoko makubwa ya hisa ni mkubwa na hutazamwa zaidi na wawekezaji wengi duniani kwa Tanzania Sijawahi kuona kampuni yoyote ya bima ya Tanzania au ya nje ikawa listed katika soko la hisa Dar es salaam.
Lakini biashara ya bima hufanya vizuri hata katika swala zima la faida, kwa makampuni ya bima Tanzania au hata duniani ni mashahidi wazuri wa hilo.
Uwekezaji ungeanzia katika elimu juu ya watu kuhusu umuhimu wa bima na pia hata elimu ya uwekezaji ingetolewa kwa watu maana watu ndo wateja katika biashara ya bima.
Kwa niliyoona katika masoko makubwa ya hisa kama NYSE, NASDAQ, Shanghai stock exchange biashara ya bima imechangia kwa kiasi kikubwa katika ukuaji wake
Kwa maoni yangu makampuni ya bima yakiwa listed katika soko la hisa itakua hatua kubwa sana kiuchumi na katika biashara ya soko la hisa Tanzania , maana hata mitaji itakua katika soko la hisa la DSE na hata fursa za uwekezaji katika soko la hisa zitapanuka kwa kiasi kikubwa.
Mawasiliano hoja
Lakini biashara ya bima hufanya vizuri hata katika swala zima la faida, kwa makampuni ya bima Tanzania au hata duniani ni mashahidi wazuri wa hilo.
Uwekezaji ungeanzia katika elimu juu ya watu kuhusu umuhimu wa bima na pia hata elimu ya uwekezaji ingetolewa kwa watu maana watu ndo wateja katika biashara ya bima.
Kwa niliyoona katika masoko makubwa ya hisa kama NYSE, NASDAQ, Shanghai stock exchange biashara ya bima imechangia kwa kiasi kikubwa katika ukuaji wake
Kwa maoni yangu makampuni ya bima yakiwa listed katika soko la hisa itakua hatua kubwa sana kiuchumi na katika biashara ya soko la hisa Tanzania , maana hata mitaji itakua katika soko la hisa la DSE na hata fursa za uwekezaji katika soko la hisa zitapanuka kwa kiasi kikubwa.
Mawasiliano hoja