Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,203
- 4,677
Wadau nimeshangazwa sana na tofauti kubwa ya gharama za kutumia usafiri unaotolewa na Kampuni mbalimbali kwa utaratibu wa Kisasa
Kwa mfano kutoka Upanga hadi Tegeta Kwa Ndevu kwa kutumia usafiri wa aina moja lakini kampuni tofauti , Tofauti ya gharama ni Tsh 6,000!
Wazoefu wa masuala ya usafiri wa Kisasa watupe uzoefu
Kwa mfano kutoka Upanga hadi Tegeta Kwa Ndevu kwa kutumia usafiri wa aina moja lakini kampuni tofauti , Tofauti ya gharama ni Tsh 6,000!
Wazoefu wa masuala ya usafiri wa Kisasa watupe uzoefu