Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,243
- 88,087
Akaaa.. kunifananisha na mbwa kanigusa kwa kweli. Yani kama kajua kugusa hisia zangu ni leo. Kati ya vitu vinaniumiza ni dharau. Hata matusi naweza kuyahandle ila dharau zinanizidi nguvu.
Endeleeni bana mi naenjoy kinoma.