The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,495
- 2,043
Ni swali limenijia kuhusu haya matukio ya kumbukizi ya viongozi wetu waliotangulia mbele za haki.
Ni vigezo gani hutumika kufanya kiongozi afanyiwe kumbukizi annually?
Je, ni Sokoine, Nerere na Karume pekee wenye hivyo vigezo?
Na iwapo viongozi wengi watakidhi hivyo vigezo si tutakuwa na kumbukizi nyingi sana?
Ni kwanini tusiwajumuishe kwenye ile siku ya mashujaa?
Ni vigezo gani hutumika kufanya kiongozi afanyiwe kumbukizi annually?
Je, ni Sokoine, Nerere na Karume pekee wenye hivyo vigezo?
Na iwapo viongozi wengi watakidhi hivyo vigezo si tutakuwa na kumbukizi nyingi sana?
Ni kwanini tusiwajumuishe kwenye ile siku ya mashujaa?