Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Ni kawaida kuona maduka yakifungwa endapo kuna mtu amefariki na msiba upo jirani na maduka hayo.
Swali langu ni kwamba, kwanini maduka yafungwe? kuna uhusiano gani kati ya msiba na maduka?
Utakuta watu waliopo msibani wanashida ya kununua vitu dukani lakini wanaenda mbali sana kununua kwakuwa maduka ya majirani yote yamefungwa. Hata chumvi mtu anaenda kununua mbali kweli yote ni sababu maduka yamefungwa.
Unakuta pengine hao wenye maduka wamefunga maduka sio kwamba wapo msibani, wengine wanafunga kisha wanaenda kwenye mihangaiko mingine na hiyo inadhihirisha kwamba hakuna logic yoyote ya kufunga duka ila ni mazoea tu.
KWANINI KUKIWA NA MSIBA MADUKA YA JIRANI YANAFUNGWA????
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Swali langu ni kwamba, kwanini maduka yafungwe? kuna uhusiano gani kati ya msiba na maduka?
Utakuta watu waliopo msibani wanashida ya kununua vitu dukani lakini wanaenda mbali sana kununua kwakuwa maduka ya majirani yote yamefungwa. Hata chumvi mtu anaenda kununua mbali kweli yote ni sababu maduka yamefungwa.
Unakuta pengine hao wenye maduka wamefunga maduka sio kwamba wapo msibani, wengine wanafunga kisha wanaenda kwenye mihangaiko mingine na hiyo inadhihirisha kwamba hakuna logic yoyote ya kufunga duka ila ni mazoea tu.
KWANINI KUKIWA NA MSIBA MADUKA YA JIRANI YANAFUNGWA????
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Last edited by a moderator: