Kwanini kugombea Urais ni 'very addictive'?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,108
115,842
Ukimtazama Seif Sharif Hamad..
Uje umtazame ..Lipumba..
Uje umtazame Rungwe..
Uje umtazame na Mbowe hivi juzi.
Anapokuja kutaka kugombea huku momentum yote ipo Kwa Tundu Lissu..

Nimejiuliza Sana why wanasiasa hawa wanataka kugombea huku wanajua kabisa hakuna watakachopata?
Walishagombea huko nyuma walipata nini?

Kuna hidden benefits za mtu kugombea Urais?
Kwanini Kugombea Urais kunakuwa kama
Madawa ya kulevya mtu akianza Tu hataki kuacha?..au hawezi kuacha?
Yaani hata kina Cheyo.na Mrema pia ilikuwa kila uchaguzi wapo tu hata kama kura ni mbili Tu ..na Dovutwa pia...

Kuna Siri gani wanaijua wakigombea Urais?..
International recognition?
Wanapita VIP airport? Au kuna nini hasa?
 
Zile kura za urais kuna kiwango kikifikia chama huwa kinapata ruzuku. Kwahiyo, ni muhimu kuweka mgombea urais labda iko kiwango kinaweza kufika na chama kikipata pesa ya kujiendesha. Ila sidhani kama wanaogombea wana nia nyingine zaidi ya hii, mana kuhusu kushinda sio kweli, kwasababu kuna majimbo wanashindwa kuweka wagombea
 
Zile kura za urais kuna kiwango kikifikia chama huwa kinapata ruzuku. Kwahiyo, ni muhimu kuweka mgombea urais labda iko kiwango kinaweza kufika na chama kikipata pesa ya kujiendesha. Ila sidhani kama wanaogombea wana nia nyingine zaidi ya hii, mana kuhusu kushinda sio kweli, kwasababu kuna majimbo wanashindwa kuweka wagombea

Hawa wengi hawapati hata kura hizo
 
Kwani kuna tatizo?

Hao ni wanasiasa na maisha yao ni siasa...

Kugombea (kuomba kupigiwa kura/kuchaguliwa kuwa kiongozi) na kupiga kura (kuchagua viongozi) ni haki za msingi za kila RAIA...

Tatizo haliko kwao. Tatizo liko kwako kwa mtazamo wako wa ku - question watu wanaotekeleza haki zao msingi za kiraia bila kuvunja sheria yoyote....

Wewe unaona wanapoteza muda. Na haieleweki kwa hakika swala la muda wao linakuhusu nini wewe....

Kwa sababu kama kuna watu watafuatilia maisha yako wewe "The Boss", wanaweza kuona kuwa unafanya mambo mengi ya kipuuzi yanayopoteza muda wako...

Lakini WHO CARES and WHY? Those are your personal matters. No one deserves to question your personal matters, right?
 
Ukimtazama Seif Sharif Hamad..
Uje umtazame ..Lipumba..
Uje umtazame Rungwe..
Uje umtazame na Mbowe hivi juzi.
Anapokuja kutaka kugombea huku momentum yote ipo Kwa Tundu Lissu..

Nimejiuliza Sana why wanasiasa hawa wanataka kugombea huku wanajua kabisa hakuna watakachopata?
Walishagombea huko nyuma walipata nini?

Kuna hidden benefits za mtu kugombea Urais?
Kwanini Kugombea Urais kunakuwa kama
Madawa ya kulevya mtu akianza Tu hataki kuacha?..au hawezi kuacha?
Yaani hata kina Cheyo.na Mrema pia ilikuwa kila uchaguzi wapo tu hata kama kura ni mbili Tu ..na Dovutwa pia...

Kuna Siri gani wanaijua wakigombea Urais?..
International recognition?
Wanapita VIP airport? Au kuna nini hasa?
Mwai Kibaki wa Kenya aligombea mara 4 bila kupata, mara ya 5 akapata.
 
Ukimtazama Seif Sharif Hamad..
Uje umtazame ..Lipumba..
Uje umtazame Rungwe..
Uje umtazame na Mbowe hivi juzi.
Anapokuja kutaka kugombea huku momentum yote ipo Kwa Tundu Lissu..

Nimejiuliza Sana why wanasiasa hawa wanataka kugombea huku wanajua kabisa hakuna watakachopata?
Walishagombea huko nyuma walipata nini?

Kuna hidden benefits za mtu kugombea Urais?
Kwanini Kugombea Urais kunakuwa kama
Madawa ya kulevya mtu akianza Tu hataki kuacha?..au hawezi kuacha?
Yaani hata kina Cheyo.na Mrema pia ilikuwa kila uchaguzi wapo tu hata kama kura ni mbili Tu ..na Dovutwa pia...

Kuna Siri gani wanaijua wakigombea Urais?..
International recognition?
Wanapita VIP airport? Au kuna nini hasa?

Wanawiwa kuonesha utayari wao kuitumikia nchi yao wanayoipenda Sana.
Si dhambi Wala sio uraibu.
 
Power blocker,akijitoa kabla ya uchaguzi anaweza kutengeneza advantage au disadvantage kwa front runners,kama kweli ana wafuasi wengi wa kumpa kura nyingi mno lakini pungufu kuwa mshindi.
Wanaweza kutengenezwa mazungumzo na mtu au watu huyo/hao kujiondoa mwishoni na kuwataka wafuasi wake wampigie fulani.
 
Back
Top Bottom