Kwanini korodani za wanaume huwa hazitakati?

Kwanini korodani hata uoge vipi uchafu uko palepale yaani ukokoukoko ambao ukijikausha tu na taulo ukabaki unyevu ukasugua unapata mabujebuje ya uchafu?

Wadau nipeni jibu KWANINI korodani huwa hazitakati?
acha uchafu wewe hujui zinaoshwaji hizo,
 
Kwanini korodani hata uoge vipi uchafu uko palepale yaani ukokoukoko ambao ukijikausha tu na taulo ukabaki unyevu ukasugua unapata mabujebuje ya uchafu?

Wadau nipeni jibu KWANINI korodani huwa hazitakati?
Unataka ziwe nyeupe kama usoeee
 
Baada ya kuoga vizuri paka chumvi yenye unyevunyevu, chumvi hii pia husaidia kuzuia harufu inayotokana na jasho katika sehemu zetu nyeti na hakuna haja ya kupulizia manukato ya kemikali. Utabaki kuwa fresh kwa masaa 24 na maambukizo ya Ngozi utakaa nayo mbali.
swadakta kabisa pia pilipili ya unga inasaidia
 
si kweli zinatakata kabisa,jambo la msingi ni kujilinda usipate fungus maana zinatengeneza aina ya ukurutu ambao ukiwa sigu inakuwa kama magamba ya nyoka
 
Dada umetembea na wanaume wangap wenye ugonjwa huo? Nawe utakuwa mchafu sana. Mbona wanaume sisi ambao hadi korodani zetu zinanyonywa tupo.


Kwanini korodani hata uoge vipi uchafu uko palepale yaani ukokoukoko ambao ukijikausha tu na taulo ukabaki unyevu ukasugua unapata mabujebuje ya uchafu?

Wadau nipeni jibu KWANINI korodani huwa hazitakati?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom