johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,803
Komredi Polepole alisema kimsingi Katiba huandaliwa na Rais anayetoka madarakani kama ilivyokuwa mzee Kikwete lakini siyo aliyeingia madarakani.
Jaji Warioba anasema Katiba ni sheria ambayo hubadilishwa wakati kwa wakati kulingana na mahitaji na kwamba sasa siyo muda muafaka kwa sababu hatutaweza kufanya kura ya maoni kutokana na janga la kidunia la Covid 19.
Je, Jaji Warioba na Komredi Polepole wana hoja?
RIP Dr Sengodo Mvungi!
Jaji Warioba anasema Katiba ni sheria ambayo hubadilishwa wakati kwa wakati kulingana na mahitaji na kwamba sasa siyo muda muafaka kwa sababu hatutaweza kufanya kura ya maoni kutokana na janga la kidunia la Covid 19.
Je, Jaji Warioba na Komredi Polepole wana hoja?
RIP Dr Sengodo Mvungi!