Mmmh kwahiyo hapo ndio umemueleza sababu teh.Sababu zinaeleweka, kuna charges zipo kwetu na kwa wenzetu hazijumlishwi kwny kodi moja kwa moja yani zinakua separate. Mf,,,Veh Registration fee ambayo huku ni laki tano for most cars (sijajua kama ni fixed at 500k au la). Kwaio hakuna chakulalamikia, lipa kodi tulijenge taifa.
Kodi zina breakdown, kuna kodi ya maendeleo ya reli, kuna malipo ya usajili wa gari, kuna malipo ya customs and the list goes on. Ila the main reason i think ni kua, kodi kubwa ndo njia pekee yakuregulate importation ya magari used kuingia nchini.Mmmh kwahiyo hapo ndio umemueleza sababu teh.
Hapo nimekupa sana aseee.Kodi zina breakdown, kuna kodi ya maendeleo ya reli, kuna malipo ya usajili wa gari,kuna malipo ya customs and the list goes on. Ila the main reason i think ni kua , kodi kubwa ndo njia pekee yakuregulate importation ya magari used kuingia nchini.