M MPadmire JF-Expert Member Mar 7, 2006 3,928 3,225 Dec 5, 2013 #3 TRA ni wavivu wa kufikiri, sio wabunifu. Wafanyakazi wengi pale TRA sio think tanks, wanapata kazi kwa Michongo ya Undugunization Wafanyabiashara wakata 10% na Serikali inapoteza kodi nyingi TRA wana jiwekea Bonus kubwa mwisho wa mwaka kwa kuweka viwango vya kuvuka lengo feki Wamechoka kimawazo, wamelewa Pesa, hawako kimaslahi ya wananchi
TRA ni wavivu wa kufikiri, sio wabunifu. Wafanyakazi wengi pale TRA sio think tanks, wanapata kazi kwa Michongo ya Undugunization Wafanyabiashara wakata 10% na Serikali inapoteza kodi nyingi TRA wana jiwekea Bonus kubwa mwisho wa mwaka kwa kuweka viwango vya kuvuka lengo feki Wamechoka kimawazo, wamelewa Pesa, hawako kimaslahi ya wananchi
Threesixteen Himself JF-Expert Member Feb 12, 2013 8,223 7,993 Dec 5, 2013 #4 ! ! these guys (ccm) are tired
E emalau JF-Expert Member Apr 25, 2009 2,775 3,100 Dec 5, 2013 #5 Laws / regulations are always made by the business people through what we call lobbiest
Mtanzania1 JF-Expert Member Dec 30, 2010 1,168 167 Dec 5, 2013 #6 Umenena.....kuna jamaa. namfahamu analipa zaidi ya 28milion PAYE kwa mwaka.......ananung'unika kila siku. ..
Umenena.....kuna jamaa. namfahamu analipa zaidi ya 28milion PAYE kwa mwaka.......ananung'unika kila siku. ..