TIGO na matangazo yao ya lugha tata ndio imepelekea waitwe hivyo.... tena bado wanaleta matangazo tata kwa lengo la kuwavutia watu. JOTI anawaponza
Jaza ujazwe
TIGO na matangazo yao ya lugha tata ndio imepelekea waitwe hivyo.... tena bado wanaleta matangazo tata kwa lengo la kuwavutia watu. JOTI anawaponza
Aisee, sema kweli mkuu?Tigo ni kitu kinachopendwa na wengi mtandao huu unawateja wengi zaidi
HahahahahahahaAu aiangalie vizuri logo yake inafanana na nini hasa kule mwisho
Duh kumbe we ni demSikumbuki vizuri lakini nafikiri umri wa kutosha kuitwa binti lakini sikuwa kwenye mitandao , nakumbuka tu ile kaulimbiu yao ilijulikana sana 'buzz ni bomba' halafu ile sijui zummm zummm
Kama voda ni mbele, tigo nyuma je airtel zantel na halotel ni wapi?
Shida ipo kwenye hiyo 0!Au aiangalie vizuri logo yake inafanana na nini hasa kule mwisho
Ni kweli aisee hawa jamaa matangazo yao hivi wanayafanyia resarch kweli jamani yana ukakasi masikioni.Na lile tangazo la mwantumuuuuuuu...... utata mtupu. Linafundisha ukiwa na lofa anakulisha chakula cha aina moja tafuta mwingine mkaufinyeeee
MweeeeeeShida ipo kwenye hiyo 0!
HahaaaaWakat tigo, inaingia ilikuwa ni mtandao pekee unaobana matumizi, kwa hiyo mabasha wakafananisha , kubana bana. Kwa anus,kwa shughul zake za asili
Mungu hapendi ni uchafu kumbuka Sodoma na Gomola ziliangamia kwa tabia hiyo chafu leo mwawafanyie hata wake zenu jamani tumuogope Mwenyezi Mungu kuna siku ya kuwa pekee kwenye giza nene.Ila tigo tamu
Okay ile 'tigo matigo ' umenifumbua mkuu sasa napata point , Ahsante.Mimi nahic kuna kipind mimbo fulan toka Ghana ilikuwa inachezwa kwa kuonesha makalio..uku wakisema "matigo" ...na ndo buz ilichange to tiGO
hahahaaa afu mapresenter wanaulizana,vipi mchomvu umeshajazwa!!!? nae anajibu ndio umebaki wewe Mammy kajazwe pia!! hii ndo tigo bhanaHaka kamsemo ka JAZA UJAZWE kananiboa sana.
Kuna kipindi fulan tigo walikuja na tangazo lao wakionyesha mtu anafunga kidole gumba na cha shahada mfano wa sufuri...hapo ndipo dhana hii ilipoanza mpk leo kufunganisha vidole hiv kumebeba ujumbe huo.Wajuzi naomba kueleweshwa ni muda mrefu kidogo nasikia watu wakisema maneno kama kaliwa tigo, anagawa tigo nakadhalika nakadhalika wakimaanisha kitendo cha mapenzi ya kinyume na maumbile na kinyume na radhi ya Mwenyezi Mungu.
Ninachouliza imekuwaje mtandao huo ukafananishwa na the mk...u vinafanana vipi na kwa nini isiwe mitandao mingine. Ilianzaanzaje wakawekewa dhana ya kinyume.
Sasa na hii ya jaza ujazwe ndo sielewi kabisaa hii kaulimbiu ni kwa jinsia zote watajazwa. Jamani ushamba mzigo nisaidieni uelewa.
Mda uo nakumbuka nipo second year udsm tupo hol 2 floor ya 8 na lift ni tatizo...Tanzania nakukumbuka...@2005Okay ile 'tigo matigo ' umenifumbua mkuu sasa napata point , Ahsante.
Ubarikiwe sana shetani antafuta mawindo yakeMungu hapendi ni uchafu kumbuka Sodoma na Gomola ziliangamia kwa tabia hiyo chafu leo mwawafanyie hata wake zenu jamani tumuogope Mwenezi Mungu kuna siku ya kuwa pekee kwenye giza nene.
Umejuaje mkuu ?Tigo ni kitu kinachopendwa na wengi mtandao huu unawateja wengi zaidi