Kwanini Kiongozi wa Upinzani Bungeni(KUB), Freeman Mbowe hashiriki uzinduzi wa miradi mikubwa ya Kitaifa?!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,840
141,765
Zitto akiwa CHADEMA alisema nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni ina hadhi yake hivyo inahitaji mtu mwenye utambuzi wa matukio, nyakati na fursa.

Hivi sasa nimeelewa kile Zitto alichomaanisha, ukimuangalia Mbowe ana act kama mwenyekiti wa UKAWA na siyo KUB, anasahau kuwa KUB ni msemaji mkuu wa vyama vyote vya upinzani bila kujali uwepo wao bungeni hivyo popote pale anapohudhuria Waziri Mkuu na Spika, KUB anapaswa kuwepo pia.

Kitendo cha Mbowe " kuwakilishwa" na Shibuda siyo kibaya lakini ni vema mara nyingine awe anahudhuria.

Naomba niishie hapo!
 
Zitto akiwa CHADEMA alisema nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni ina hadhi yake hivyo inahitaji mtu mwenye utambuzi wa matukio, nyakati na fursa.

Hivi sasa nimeelewa kile Zitto alichomaanisha, ukimuangalia Mbowe ana act kama mwenyekiti wa UKAWA na siyo KUB, anasahau kuwa KUB ni msemaji mkuu wa vyama vyote vya upinzani bila kujali uwepo wao bungeni hivyo popote pale anapohudhuria Waziri Mkuu na Spika, KUB anapaswa kuwepo pia.

Kitendo cha Mbowe " kuwakilishwa" na Shibuda siyo kibaya lakini ni vema mara nyingine awe anahudhuria.

Naomba niishie hapo!
Anajiona yeye ni "matawi ya juu", hajui hapo ndipo anapoharibu. Lichama lake linazidi kuporomoka tu.
 
Kwa akili yako fupi wadhani kuwa kila mtu anaruhusiwa kuhudhuria?? Je, wewe ndo mkuu wa itifaki?? Pathetic.
 
Zitto akiwa CHADEMA alisema nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni ina hadhi yake hivyo inahitaji mtu mwenye utambuzi wa matukio, nyakati na fursa.

Hivi sasa nimeelewa kile Zitto alichomaanisha, ukimuangalia Mbowe ana act kama mwenyekiti wa UKAWA na siyo KUB, anasahau kuwa KUB ni msemaji mkuu wa vyama vyote vya upinzani bila kujali uwepo wao bungeni hivyo popote pale anapohudhuria Waziri Mkuu na Spika, KUB anapaswa kuwepo pia.

Kitendo cha Mbowe " kuwakilishwa" na Shibuda siyo kibaya lakini ni vema mara nyingine awe anahudhuria.

Naomba niishie hapo!



1.CCM/wakuu wa mikoa/wakuu wa wilaya/mawaziri/wakurugenzi.
walishasema hawashirikiani na upinzani/chadema.

Sasa unataka mbowe ashiriki sehemu asipo takiwa??

2. Mbowe hawezi shirikiana na wauaji, na watekaji,


FULLSTOP
 
Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB) imepwaya, hii haina mjadala. Wabongo hili wala hawalizingatii, wanaangalia spika kamwajibisha nani, waziri wa maliasili katoa tamko gani wakosoe, mkuu wa mkoa kakutana na akina nani, raisi kakaripia nini na mange kimambe kasema nini.

Bila kuwa na KUB imara, hakika upinzani bungeni hautakuwa imara na hatimae nchi itakosa vyama imara vya upinzani. na ndio sababu sasa CCM inanyakua viti vilivyokuwa vinashililiwa na upinzani. Mchawi ni Mbowe. Mbowe anahudumiwa kama kiongozi wa kitaifa, na ni serikali inamhudimia. baadhi ya stahiki zake ni gari na dereva. Lakini badala ya kutumia stahiki hii kwa manufaa ya umma yeye hutumia stahiki hii kama wasaa wa kusafiri safari zake bibafsi ba za chama chake cha siasa.
 
Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB) imepwaya, hii haina mjadala. Wabongo hili wala hawalizingatii, wanaangalia spika kamwajibisha nani, waziri wa maliasili katoa tamko gani wakosoe, mkuu wa mkoa kakutana na akina nani, raisi kakaripia nini na mange kimambe kasema nini.

Bila kuwa na KUB imara, hakika upinzani bungeni hautakuwa imara na hatimae nchi itakosa vyama imara vya upinzani. na ndio sababu sasa CCM inanyakua viti vilivyokuwa vinashililiwa na upinzani. Mchawi ni Mbowe. Mbowe anahudumiwa kama kiongozi wa kitaifa, na ni serikali inamhudimia. baadhi ya stahiki zake ni gari na dereva. Lakini badala ya kutumia stahiki hii kwa manufaa ya umma yeye hutumia stahiki hii kama wasaa wa kusafiri safari zake bibafsi ba za chama chake cha siasa.
Mzee niambie majukumu ya hii nafasi ndio tuone amefail wapi kumudu majukumu yake
 
Gombea ubunge uwe kiongozi wa upinzani bungeni kama IQ yako inaweza kupambana kwa hoja siyo vioja.na uombe ipitishwe sheria ya wanaume kuolewa kutokana na kufuatilia maisha ya wanaume
 
Malaika wake amemwambia asiende ktk njozi, unajua kipindi hiki hasa wanasiasa wa upinzani wanatakiwa kusali sana ili Malaika wa Mungu/ Roho Mtakatifu awape ulinzi wa kipekee dhidi ya 'watu wasiojulikana'.
 
Zitto akiwa CHADEMA alisema nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni ina hadhi yake hivyo inahitaji mtu mwenye utambuzi wa matukio, nyakati na fursa.

Hivi sasa nimeelewa kile Zitto alichomaanisha, ukimuangalia Mbowe ana act kama mwenyekiti wa UKAWA na siyo KUB, anasahau kuwa KUB ni msemaji mkuu wa vyama vyote vya upinzani bila kujali uwepo wao bungeni hivyo popote pale anapohudhuria Waziri Mkuu na Spika, KUB anapaswa kuwepo pia.

Kitendo cha Mbowe " kuwakilishwa" na Shibuda siyo kibaya lakini ni vema mara nyingine awe anahudhuria.

Naomba niishie hapo!
Pole sana. Wathamini picha kuliko haki za binadamu?
 
Wanalalamika kwamba wanatengwa na kutaka kwenda ikulu tu,ila kwenye mambo ya kitaifa hawataki ila ingekua mm ni mbowe ningekua nashiriki kila mara ila wakinipa mic nisalimie nasema yte ambayo upinzan unalalamikia kwenye media kila mara
 
Back
Top Bottom