Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Mimi ni mfanya biashara. Kwenye siasa niko neutral...Safi sana ... Lazima utakuwa mwana UKAWA wewe.
Mimi ni mfanya biashara. Kwenye siasa niko neutral...Safi sana ... Lazima utakuwa mwana UKAWA wewe.
Ha ha ha! Aya bhana.Mimi ni mfanya biashara. Kwenye siasa niko neutral...
Hapa nilipo mboga zimestawi kweli bahati nzuri hawauzi wanakula wenyewe, wanafungua kifuniko cha majitaka wananyunyiziaSisi ndo hatutumii lakina katika mbolea bora na yenye nutrients zote ni ya binadamu sema uandaji wake na mazoea ndo changamoto kuna sehemu hapa tz kuna Mkulima ananyonya majitaka kwenye matenka anapeleka kwenye Shamba lake la kahawa kupitia drip irrigation anavuna balaa first grade kahawa ana export nje anauza bei ghali sana ktk soko la dunia
CDA na DUWASA wameadhibiwa kwa kuwaacha wetu kutumia maji hayo kwa matumizi ya umwagiliaji wa mbogamboga zinazouzwa kwa wingi katika masoko mbalimbali ya Manispaa ya Dodoma.Hakitumiki? Nenda Dodoma eneo la Swaswa uone wajasiriamali wanavyokitumia kustawisha mbogamboga, ila siku zote najiuliza idara ya afya inawahakikishiiaje usalama watu dodoma kwa kula hizo mboga
Umejibu kitaalamu sana, bravoUkisoma kuhusu mnyororo wa chakula, utagundua kuwa mimea (primary producer) in high energy level/ calorific value kuliko wanyama kama mbuzi, ng'ombe nk (ambao wao ni primary consumer) pia wanyama kama hao swala, mbuzi, ng'ombe nk ambao wanakula majani yenye kiwango cha juu cha calorie wana high energy level kuliko binadamu, simba and the like ambao ni secondary consumer na pia binadam wana high calorific value (energy level) kuliko wanyama kama fisi and the like.
Kwa hiyo technically ukitumia mbolea ya majani (mboji) ni nzuri zaidi kuliko mbolea ya ng'ombe na mbuzi, pia ukitumia mbolea ya ng'ombe na mbuzi ni nzuri zaidi kuliko kutumia kinyesi cha binadamu and so on...
View attachment 440678
Ha ha hailo shamba litakua lina nzi wengi alfu linanukaaa
Matumizi yake ni kutengenezea mkate... huitwa kwa jina la mashonde...kwanini cha binadamu hakitumiki? karibuni tujadili