assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
NIMESIKITISHWA SANA na katibu mkuu wa CCM PAMOJA NA mwenezi wake NAPE NNAUYE kwa kutumia muda mwingi kuishambulia UKAWA badala ya kuwaeleza wananchi ni jinsi gan wizi na ufisadi uliokithiri ndani ya serikali namna unavyoshuhulikiwa.
Mfano kuna sakata walioliibua ukawa la bilioni 200, waziri mhongo kuhonga baadhi ya wabunge ili wasiibane wizara yake, misamaha ya kodi mikubwa ambayo hata kangi lugola amesema ataleta hoja binafsi ya kumtoa spika makinda.
Shida kubwa ya maji, vitanda hapa hospitalini, ubovu wa shule za kata mpaka vyuo vikuu ambpo mh susan lymo alisema holi 5 na 6 chuo kikuu ni hatarishi lakini hamna anaejali, miundo mbinu mibovu,ajira kwa vijana imekua ni hadisi isioisha.
kwa miaka hamsini wameshindwa kudeliver sasa badala kuelezea kwann wasitolewe madarakani kwa kushindwa kazi waliopewa na wananchi kama alivyosema jana mh lema CCM hawana viongozi ambao ni positive thinker, creative na wameshindwa kuprovide leadership na tumeendelea kuwa maskini na tutaendelea licha ya kuwa na dhahabu ,mito maliasiri,gesi,madini , milima ya kitalii nk.
Mfano kuna sakata walioliibua ukawa la bilioni 200, waziri mhongo kuhonga baadhi ya wabunge ili wasiibane wizara yake, misamaha ya kodi mikubwa ambayo hata kangi lugola amesema ataleta hoja binafsi ya kumtoa spika makinda.
Shida kubwa ya maji, vitanda hapa hospitalini, ubovu wa shule za kata mpaka vyuo vikuu ambpo mh susan lymo alisema holi 5 na 6 chuo kikuu ni hatarishi lakini hamna anaejali, miundo mbinu mibovu,ajira kwa vijana imekua ni hadisi isioisha.
kwa miaka hamsini wameshindwa kudeliver sasa badala kuelezea kwann wasitolewe madarakani kwa kushindwa kazi waliopewa na wananchi kama alivyosema jana mh lema CCM hawana viongozi ambao ni positive thinker, creative na wameshindwa kuprovide leadership na tumeendelea kuwa maskini na tutaendelea licha ya kuwa na dhahabu ,mito maliasiri,gesi,madini , milima ya kitalii nk.