The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
Kwenye jeshi la polisi kuna kitengo kinaitwa criminal investigation department kwa kimombo lakini kwa kiswahili wanaita kitengo cha upelelezi wa makosa ya jinai.
Swali langu ni kwa nini tafsiri ya investigation inakua upelelezi badala ya uchunguzi? Neno upelelezi limekaa kishambega, kiumbea umbea hivi ila investigation ama uchunguzi imekaa kitaalamu, iko facts based, kwamba unachunguza, unatafta kuujua ukweli na sio kupeleleza.
Kama investigation ni upelelezi, je spying iitweje?
Nashauri kitengo cha upelelezi wa makosa ya jinai kibadilishe jina kiitwe kitengo cha uchunguzi wa makosa ya jinai. Kuchunguza maana yake ni kutaka kuujua ukweli ila kupeleleza kunaleta ukakasi.
Swali langu ni kwa nini tafsiri ya investigation inakua upelelezi badala ya uchunguzi? Neno upelelezi limekaa kishambega, kiumbea umbea hivi ila investigation ama uchunguzi imekaa kitaalamu, iko facts based, kwamba unachunguza, unatafta kuujua ukweli na sio kupeleleza.
Kama investigation ni upelelezi, je spying iitweje?
Nashauri kitengo cha upelelezi wa makosa ya jinai kibadilishe jina kiitwe kitengo cha uchunguzi wa makosa ya jinai. Kuchunguza maana yake ni kutaka kuujua ukweli ila kupeleleza kunaleta ukakasi.