Mapinduzi ya VIWANDA 52,000 ndani ya kurasa 303 za ilaniHivi mpaka ninaitwa chama cha mapinduzi kilipindua nini hadi kikaitwa chama cha mapinduzi maana ukiangakia kama ni uhuru tuliupata bila kumwaga damu.
Naomba kujuzwa kwa nini kikaitwa Chama cha Mapinduzi.
Sema ilichopindua, ilimpindua nani?Magufuli alikua sahihi kusema historia itazamwe upya huyu akili zake kama za makaburu ya south africa hajui kinachoendelea ....
Mambo ya toka shule ya msingi ... hata kama unatfuta hela sio kwa kushindwa kujua historia...
Au wewe born town umesoma nje maana na sisi wabongo kwa kuja na majibu ya moja kwa moja
Hembu msaidieni kijana kuna kazi nafanya hapa.
Mchonga meno alipindua meza km masikharaHivi mpaka ninaitwa chama cha mapinduzi kilipindua nini hadi kikaitwa chama cha mapinduzi maana ukiangakia kama ni uhuru tuliupata bila kumwaga damu.
Naomba kujuzwa kwa nini kikaitwa Chama cha Mapinduzi.
Wewe mwenyewe hujuiMagufuli alikua sahihi kusema historia itazamwe upya huyu akili zake kama za makaburu ya south africa hajui kinachoendelea ....
Mambo ya toka shule ya msingi ... hata kama unatfuta hela sio kwa kushindwa kujua historia...
Au wewe born town umesoma nje maana na sisi wabongo kwa kuja na majibu ya moja kwa moja
Hembu msaidieni kijana kuna kazi nafanya hapa.
Wewe uliyesoma huwezi toa jibu na hilo jibu hunaKasome civics form 2
Umejaribu japo kuwa sio sahihi.Kilivipindua vyama vya TANU na Afro-Shiraz.
Kwa hiyo haya yanayofanyika ni tangu kianzishwe kumbeKimepindua mengi sana Tanzania aliyoacha mkoloni sio hii tuliyonayo kila kitu shaghalabaghala
Sent using Jamii Forums mobile app
Na vingine viliuzwaMapinduzi ya VIWANDA 52,000 ndani ya kurasa 303 za ilani
Huku mwisho mwisho umepatiaMagufuli alikua sahihi kusema historia itazamwe upya huyu akili zake kama za makaburu ya south africa hajui kinachoendelea ....
Mambo ya toka shule ya msingi ... hata kama unatfuta hela sio kwa kushindwa kujua historia...
Au wewe born town umesoma nje maana na sisi wabongo kwa kuja na majibu ya moja kwa moja
Hembu msaidieni kijana kuna kazi nafanya hapa.
Ahaa kumbeKazi yake ni kupindua matokeo kwenye uchaguzi wowote ndani ya tanzania.