Kwanini kila nikiona wasichana wazur wenye makalio makubwa mate hunijaa mdomon kwa wingi kama fisi

Beira Boy

JF-Expert Member
Aug 7, 2016
17,896
25,941
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Kwanini mimi kila nikiona wasichana wenye makalio makubwa tentemente mate hunijaa sana mdomon na udenda wenye chumvi chumvi huanza kunidondoka

Dah yaan nachoka sana hasa nionapo wasichana weupe waliovaa vimin

Sijajua hili ni tatizo gan aisee

Nachoka sana mda mwingine huwa sitaman hata kugeuka nionapo wadada wazur wenye makalio lakin nashindwa jaman
tapatalk_1507231008314.jpeg

Dah

LONDON BABY
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Kwanini mimi kila nikiona wasichana wenye makalio makubwa tentemente mate hunijaa sana mdomon na udenda wenye chumvi chumvi huanza kunidondoka

Dah yaan nachoka sana hasa nionapo wasichana weupe waliovaa vimin

Sijajua hili ni tatizo gan aisee

Nachoka sana mda mwingine huwa sitaman hata kugeuka nionapo wadada wazur wenye makalio lakin nashindwa jaman
View attachment 646322
Dah

LONDON BABY
yaani mate yanakujaa wewe alafu unatuuliza sisi? we dogo vipi
 
Una chemichemi za mate mdomoni mwako.

Kwa hiyo, Waite uhai, na Kilimanjaro waje wafunge machine za kuzalisha maji.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom