bu Nature mwanaume lazima awe mwingi kutokana na asili yake , ila sio kwamba mwanamke akiona hivo ndo aje juu kutaka usawa - hapo ndo wanapoharibu.
mwanamke mwenye busara lazima ajue akishaolewa basi awe mvumilivu hadi mwisho na tena kama ndo ndoa ya kikristu ndo imetoka hiyoo, akijaribu kuivunja lazima aonekane malaya.