Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,800
Msiba uko Mbagala, au Gongo la Mboto, watafanya kila nia waje wazike kwenye makaburi ya kinondoni.
Je makaburi ya Kinondoni yana nini special?
Au Kinondoni ndio kuna geti la kwendea MBINGUNI? Au ukizikwa hapo mwili wako hauotooza? au ukizikwa Kinondoni siku ya ufufuo Yesu atafikia kwenye makaburi hayo?
Najiuliza na jibu sipati.
Sanasana mnatuongezea mafoleni huku mabarabarani.
Jamani, tujifunze kuokoa muda na mali, zikeni hukohuko mliko, sio lazima kila mtu azikwe KINONDONI.
Je makaburi ya Kinondoni yana nini special?
Au Kinondoni ndio kuna geti la kwendea MBINGUNI? Au ukizikwa hapo mwili wako hauotooza? au ukizikwa Kinondoni siku ya ufufuo Yesu atafikia kwenye makaburi hayo?
Najiuliza na jibu sipati.
Sanasana mnatuongezea mafoleni huku mabarabarani.
Jamani, tujifunze kuokoa muda na mali, zikeni hukohuko mliko, sio lazima kila mtu azikwe KINONDONI.