Kwanini kila Mtanzania siku hizi anataka kuanzisha na kumiliki Taasisi,NGO,Foundation yake mwenyewe?

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Nimeona kipindi hiki kila mtanzania ana mtazamo au mawazo kuanzisha kajitaasisi au foundation na hata NGOs na lengo la kuwa mmiliki wa hiyo organization.

Kuwa na taasisi nyingi zisizo za kiserikali ni jambo zuri kwa mustakabli wa ajira kwa vijana na hata kuongeza wigo wa huduma kwa watanzania.

Nimejaribu kuangalia kwa taasisi za zamani wale waliokuwa ktk management ndiyo wengi sasa wakuu wa Organization mpya zilizoanzishwa lakini zenye malengo na mtazamo kama wa Organization yao ya zamani.

Swali langu kwanini wasomi hawa wasiboreshe taasisi mfano moja ambako wako na ikawa kubwa na kuwa na matawi mikoani na wilaya na hatimaye mpaka vijijini kuliko kujiengua na kuanzisha Organization nyingine?

Ili Africa na Tanzania tuendelee tunahitaji Taasisi zilizo imara na bora.

Karibuni wanabodi
 
Mi ni m tz lakini sina hata wazo la kuanzisha hayo mambo kwa hiyo unitoe huko
 
"Nimeona kipindi hiki kila mtanzania ana mtazamo au mawazo kuanzisha kajitaasisi au foundation na hata NGOs na lengo la kuwa mmiliki wa hiyo organization"


Mimi umenionea wapi mkuu, embu jaribu kusema baadhi basi ili twende sawa.... hiyo generalization yako haipo sawa
 
Nimeona kipindi hiki kila mtanzania ana mtazamo au mawazo kuanzisha kajitaasisi au foundation na hata NGOs na lengo la kuwa mmiliki wa hiyo organization.

Kuwa na taasisi nyingi zisizo za kiserikali ni jambo zuri kwa mustakabli wa ajira kwa vijana na hata kuongeza wigo wa huduma kwa watanzania.

Nimejaribu kuangalia kwa taasisi za zamani wale waliokuwa ktk management ndiyo wengi sasa wakuu wa Organization mpya zilizoanzishwa lakini zenye malengo na mtazamo kama wa Organization yao ya zamani.

Swali langu kwanini wasomi hawa wasiboreshe taasisi mfano moja ambako wako na ikawa kubwa na kuwa na matawi mikoani na wilaya na hatimaye mpaka vijijini kuliko kujiengua na kuanzisha Organization nyingine?

Ili Africa na Tanzania tuendelee tunahitaji Taasisi zilizo imara na bora.

Karibuni wanabodi
Unashangaa NGO's kuongezeka wakati wana goals tofauti lakini hushangai makanisa/madhehebu kuongezeka wakati dhamira ni moja tu(MUNGU)
 
Hivi pesa za misaada (aids and grants) bado Zipo? Huyu mzee hajazikata kodi hizo pesa ?
 
Nimeona kipindi hiki kila mtanzania ana mtazamo au mawazo kuanzisha kajitaasisi au foundation na hata NGOs na lengo la kuwa mmiliki wa hiyo organization.

Kuwa na taasisi nyingi zisizo za kiserikali ni jambo zuri kwa mustakabli wa ajira kwa vijana na hata kuongeza wigo wa huduma kwa watanzania.

Nimejaribu kuangalia kwa taasisi za zamani wale waliokuwa ktk management ndiyo wengi sasa wakuu wa Organization mpya zilizoanzishwa lakini zenye malengo na mtazamo kama wa Organization yao ya zamani.

Swali langu kwanini wasomi hawa wasiboreshe taasisi mfano moja ambako wako na ikawa kubwa na kuwa na matawi mikoani na wilaya na hatimaye mpaka vijijini kuliko kujiengua na kuanzisha Organization nyingine?

Ili Africa na Tanzania tuendelee tunahitaji Taasisi zilizo imara na bora.

Karibuni wanabodi
Ukiacha siasa NGO ni mradi mwingine mzuri sana wa kula bila jasho kwa Tanzania
 
Back
Top Bottom