tabu kuishi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 353
- 43
Mtu akisema anauza nyumba ujuwe bei yake itakuwa ni kati ya millioni 40 hadi mia na kuendeleya mbona sioni nyumba ambazo watu wenye kipato kidogo wanazomudu kununuwa mfano bei ya millioni 7 hadi 15 millioni?????????????????????????