Kwanini Kikwete Kaamua Hataki Kuulizwa Ushauri wa Chama au Serikali?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,761
71,144
Akizungumza pale Bagamoyo wakati wa kupokewa JK kasema sasa hataki kuulizwa ushauri kuhusu chama chake au serikali jee kaona nini mpaka anaamua kujitenga?

Jee kaona mwelekeo wa serikali ya awamu ya tano haushauriki hivyo hataki lawama huko mbele ya safari?

Kwa kawaida huko nyuma wastaafu wote walikuwa wanaingia kwenye baraza la wazee, lakini kwa kauli hii ya JK ni kuwa hataki hata hilo baraza la wazee. JPM ajiulize kwa nini mtangulizi wake kamzilia?

Tupende tusipende, JK kwa miaka kumi ya Urais na miaka kumi ya uwaziri wa Mambo ya Nje anaijua sana nchi hii na mizengwe yake, kwa kugoma kumshauri Magu hii ni dalili mbaya sana kwake Magu anapaswa kujiuliza
 
Akizungumza pale Bagamoyo wakati wa kupokewa JK kasema sasa hataki kuulizwa ushauri kuhusu chama chake au serikali jee kaona nini mpaka anaamua kujitenga? Jee kaona mwelekeo wa serikali ya awamu ya tano haushauriki hivyo hataki lawama huko mbele ya safari?
Kwa kawaida huko nyuma wastaafu wote walikuwa wanaingia kwenye baraza la wazee, lakini kwa kauli hii ya JK ni kuwa hataki hata hilo baraza la wazee. JPM ajiulize kwa nini mtangulizi wake kamzilia?
Tupende tusipende, JK kwa miaka kumi ya Urais na miaka kumi ya uwaziri wa Mambo ya Nje anaijua sana nchi hii na mizengwe yake, kwa kugoma kumshauri Magu hii ni dalili mbaya sana kwake Magu anapaswa kujiuliza

JK atakuwa alikerwa mno na ile kauli ya kumwambia kuwa kama angelikuwa yeye ndiye Mwenyekiti wakati wale wajumbe kwenye mkutano wa NEC mwaka jana wanaimba kuwa wana imani na mtu fulani, robo au nusu ya wale wajumbe wangepotea............

Kwa kweli inawezekana ile ikawa ndiyo kauli ya hovyo kuwahi kutolewa na Mkuu yeyote wa nchi tokea nchi yetu ipate uhuru.

Na hiyo inaonyesha namna gani huyo Mkuu wa nchi namna asivyotaka kwa namna yoyote ile aidha ndani ya serikali au hata kwa chama chake akosolewe au hata kupewa ushauri na mtu yeyote yule.......

Kwa tafsiri nyingine nchi yetu kwenye awamu hii ya 5 ni kama tumepata mtawala ambaye amejitwika mamlaka ya ONE MAN SHOW........
 
Labda kaona atajichanganya na hana uwezo wa kwenda sambamba na spidi ya mwendo kasi kunufaisha wananchi.
 
Pamoja na mapungufu yake mengi ya kuhurumia mafisadi lakini nadhani JK alikuwa ni mtu wa demokrasia sana.
ukitaka kumchomoa nyoka oangoni chomeka mambo ya Richmond na Escrow.ok leo tuseme lowassa na Mwakyembe waseme ukweli unadhani nini kitatokea?

swissme
 
Kwa yanayoendelea sasa hivi kumbe JK alikuwa mjanja hakutaka kuja kuonekana kuna kitu anashauri na akaweka hadharani kujiepusha na lawama. Kweli jk ni mjanja sana
 
Akizungumza pale Bagamoyo wakati wa kupokewa JK kasema sasa hataki kuulizwa ushauri kuhusu chama chake au serikali jee kaona nini mpaka anaamua kujitenga? Jee kaona mwelekeo wa serikali ya awamu ya tano haushauriki hivyo hataki lawama huko mbele ya safari?
Kwa kawaida huko nyuma wastaafu wote walikuwa wanaingia kwenye baraza la wazee, lakini kwa kauli hii ya JK ni kuwa hataki hata hilo baraza la wazee. JPM ajiulize kwa nini mtangulizi wake kamzilia?
Tupende tusipende, JK kwa miaka kumi ya Urais na miaka kumi ya uwaziri wa Mambo ya Nje anaijua sana nchi hii na mizengwe yake, kwa kugoma kumshauri Magu hii ni dalili mbaya sana kwake Magu anapaswa kujiuliza
Ngoja nikwambie Mpwa, jana jioni nilikua mahali na mtu wa nanihii huko kwa nanihiii, akaniambia kitu ambacho sikutegemea kingesemwa na mtu kama yeye, in short hawako pamoja kabisa kabisa
 
Ngoja nikwambie Mpwa, jana jioni nilikua mahali na mtu wa nanihii huko kwa nanihiii, akaniambia kitu ambacho sikutegemea kingesemwa na mtu kama yeye, in short hawako pamoja kabisa kabisa
Dalili zina onyesha ni 100% negative. Na hii ni mbaya sana kutokea kwa mtangulizi wako kwani bado humo serikalini wapo watendaji wengi ambao huyo mtangulizi ndiye aliwa create hivyo wako naye kimwili tuu lakini moyoni hawako naye
 
Dalili zina onyesha ni 100% negative. Na hii ni mbaya sana kutokea kwa mtangulizi wako kwani bado humo serikalini wapo watendaji wengi ambao huyo mtangulizi ndiye aliwa create hivyo wako naye kimwili tuu lakini moyoni hawako naye
Nasema ukweli kuwa ile statement ilinistua kidogo, haikua rafiki ila tuwaombee wamalize salama term yao hii moja hahahaaa
 
Maoni ya kikwete:
1471755012810.jpg
 
Back
Top Bottom