Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile migomo ya Ulimboka ilkuwa ya nini?Sitasahau enzi za huyu mzee jamani..
Vijana walisoma bila stress,boom likichelewa wakiandamana kidogo tu limekuja.
Wafanyakazi walikuwa na furaha,mishahara vyeo vilipanda kwa wakati
Starehe kila kona,weekend ikifika kula mtu havungi.
Wema sepetu alirusha manoti mpaka kwenye vigodoro mtaani hahahaa....Leo wema harushi hata elfu kumi.
Kudekezwa. JK alidekeza sana watumishi, wanahabari na wapinzani wakaishia kumchafua kadri wanavyopenda na kumwita dhaifu. Ndipo akakileta Chuma.Ile migomo ya Ulimboka ilkuwa ya nini?
Hakuna binadamu wa kutawala milele.Kikwete anatakiwa atawale milele
hamnazo.....Kikwete hakuwa rais bora ila Magufuli hakupaswa kuwa kiongozi kabisa na matatizo yote haya aliyoyaleta ni Kikwete
Mko tayari kuishi na mgawo wa umeme kama zamani ili tuuze magenerator?
mtaongea sana zilipendwa lets talk about the current situtaion.. hizo discussion za JK kwa sasa sidhan kama sina nafasiJK was real. He was not kind of fake president
Sitasahau enzi za huyu mzee jamani..
Vijana walisoma bila stress,boom likichelewa wakiandamana kidogo tu limekuja.
Wafanyakazi walikuwa na furaha,mishahara vyeo vilipanda kwa wakati
Starehe kila kona,weekend ikifika kula mtu havungi.
Wema sepetu alirusha manoti mpaka kwenye vigodoro mtaani hahahaa....Leo wema harushi hata elfu kumi.
HahahahahahSitasahau enzi za huyu mzee jamani..
Vijana walisoma bila stress,boom likichelewa wakiandamana kidogo tu limekuja.
Wafanyakazi walikuwa na furaha,mishahara vyeo vilipanda kwa wakati
Starehe kila kona,weekend ikifika kula mtu havungi.
Wema sepetu alirusha manoti mpaka kwenye vigodoro mtaani hahahaa....Leo wema harushi hata elfu kumi.
Hayo unayoongea yalikuwa yanafanyika mijin tu.huko pembezon walikua matako yameota sugu kwa udun wa maishaSitasahau enzi za huyu mzee jamani..
Vijana walisoma bila stress,boom likichelewa wakiandamana kidogo tu limekuja.
Wafanyakazi walikuwa na furaha,mishahara vyeo vilipanda kwa wakati
Starehe kila kona,weekend ikifika kula mtu havungi.
Wema sepetu alirusha manoti mpaka kwenye vigodoro mtaani hahahaa....Leo wema harushi hata elfu kumi.
Nakuunga mkono .Kikwete ni kama amebaki Rais tu
Magufuli kaja na yake kapita
Samia influence ya Kikwete bado kubwa..
Ni Kama Rais symbolic...
Magufuli na Samia wote hawamfikii Kikwete kinyota...
Influence yake bado kubwa sana
Acha kabisaZilikuwa enzi za kuponda raha.