Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,162
- 21,295
Sijui sisi watanzania tunakosea wapi ,tuache kusimamia mambo ambayo hayana masilahi kwa taifa kama mtu anauwezo kwanini asipewe nchi ...
Kikwete ni moja ya maraisi ambao wanajua watanzania wanataka nini, anajua uchumi halisi ,achana na uchumi Wa kwenye karatasi ..
Kwanini Huyu Mtu asipewe nchi ? Kuhusu swala LA katiba sio kesi kabisa ...
Jk rudi madarakani baba
Kikwete ni moja ya maraisi ambao wanajua watanzania wanataka nini, anajua uchumi halisi ,achana na uchumi Wa kwenye karatasi ..
Kwanini Huyu Mtu asipewe nchi ? Kuhusu swala LA katiba sio kesi kabisa ...
Jk rudi madarakani baba