Kwanini kigezo cha Wanyonge wanaojitolea iwe kigezo cha ajira

kutokana na bunge la leo inaonyesha hizi ajira kigezo kikuu ni mwaka wa kumaliza na mawaziri wamekataa swala la kujitolea kuwa kigezo kwa kuwa kuna watu wataandikwa wamejitolea kumbe hapana, kwa masomo kama phys au math sio rahis kumkuta wa 2015-2017, ila labda kwa masomo kama englsh pekee uko watawapata, , kwahyo kwa masomo ya arts ni only englsh na literature wamesema ndio watachukuliwa ,,ila kwa sayans ni masomo yote ila mwaka unazngatiwa,
 
Wabunge vilaza hao wala hawajui hata Nini wanaongea
kutokana na bunge la leo inaonyesha hizi ajira kigezo kikuu ni mwaka wa kumaliza na mawaziri wamekataa swala la kujitolea kuwa kigezo kwa kuwa kuna watu wataandikwa wamejitolea kumbe hapana, kwa masomo kama phys au math sio rahis kumkuta wa 2015-2017, ila labda kwa masomo kama englsh pekee uko watawapata, , kwahyo kwa masomo ya arts ni only englsh na literature wamesema ndio watachukuliwa ,,ila kwa sayans ni masomo yote ila mwaka unazngatiwa,
 
D
kutokana na bunge la leo inaonyesha hizi ajira kigezo kikuu ni mwaka wa kumaliza na mawaziri wamekataa swala la kujitolea kuwa kigezo kwa kuwa kuna watu wataandikwa wamejitolea kumbe hapana, kwa masomo kama phys au math sio rahis kumkuta wa 2015-2017, ila labda kwa masomo kama englsh pekee uko watawapata, , kwahyo kwa masomo ya arts ni only englsh na literature wamesema ndio watachukuliwa ,,ila kwa sayans ni masomo yote ila mwaka unazngatiwa,
Dah walimu wa arts ni changamoto..
 
Back
Top Bottom