nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 859
Habari wadau
Nimeona kwa mawazo yangu hakuna maana ya kesi za jinai au madai dhidi ya mashirika na taasisi za serikali ziendeshwe na wanasheria wa mashika na taasisi hizo kwani wamekuwa wakitengeneza mazingira ya kupiga hela.
Kama wanasheria wa serikali wataendesha kesi hizo basi ni wazi wanasheria wa mashirika na taasisi wa serikali wabaki tu kuwa washauri na wasimamizi wa maswala ya sheria kwani wamekuwa wakichelewesha kesi au kuwaonea watu ambao hawataendana nao kmakubaliano
Nawasilisha
Nimeona kwa mawazo yangu hakuna maana ya kesi za jinai au madai dhidi ya mashirika na taasisi za serikali ziendeshwe na wanasheria wa mashika na taasisi hizo kwani wamekuwa wakitengeneza mazingira ya kupiga hela.
Kama wanasheria wa serikali wataendesha kesi hizo basi ni wazi wanasheria wa mashirika na taasisi wa serikali wabaki tu kuwa washauri na wasimamizi wa maswala ya sheria kwani wamekuwa wakichelewesha kesi au kuwaonea watu ambao hawataendana nao kmakubaliano
Nawasilisha