chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Naelewa kuwa utakatishaji fedha ni kitendo cha mtu kuficha chanzo cha fedha alizozipata kiharamu na kuzifanya zionekane zinetoka kwenye vyanzo halali..
Swali la kwanza: ili kitendo kiitwe utakatishaji frdha kinaanzia kiasi gani au operation kubwa kiasi gani.
Mfano nikiwa nafanya biashara ya dawa za kulevya na fedha zangu nikaziingiza kwenye casino zikaonena kama ni fedha za wacheza kamari, hapo bila shaka ni utakatishaji wa fedha
Je, kama ni mfanyakazi wa umma, akawa anadokoa kidogo kidogo kama laki 2 kwa mwezi hivi akawa anapeleka kwenye duka lake ili kufanya kipato chake cha ziada kionekane kinatokana na biashara yake ya duka, badala ya wizi, huyu naye akigundulika atapewa kesi ya utakayishaji fedha?
Swali jingine: Ni sababu gani inayofanya kesi hii watuhumiwa wake wanyimwe dhamana? Maana kesi ambazo hazina dhamana kisheria ni za makosa makubwa ambayo mtu kesi ambazo mtuhumiwa akikutwa na hatia anapewa adhabu kubwa kama vile kunyogwa, ila utakatishaji fedha adhabu yake sio kubwa na mtuhumiwa ananyimwa dhamana?
Mfano kuna kesi ya jamaa anaitwa Ndama mtoto wa ng'ombe inayohusu utakatishaji, adhabu yake ilikuwa ni miaka 5 jela, kesi ya kubaka ni miaka 30 jela na ina dhamana..
Kuna nini?
NDAMA Mtoto wa Ng'ombe ahukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya mil. 200 - MICHUZI BLOG
Wadau wa sheria kams Petro E. Mselewa Stanley Mitchell II Retired na wengine mnaojua sheria
Swali la kwanza: ili kitendo kiitwe utakatishaji frdha kinaanzia kiasi gani au operation kubwa kiasi gani.
Mfano nikiwa nafanya biashara ya dawa za kulevya na fedha zangu nikaziingiza kwenye casino zikaonena kama ni fedha za wacheza kamari, hapo bila shaka ni utakatishaji wa fedha
Je, kama ni mfanyakazi wa umma, akawa anadokoa kidogo kidogo kama laki 2 kwa mwezi hivi akawa anapeleka kwenye duka lake ili kufanya kipato chake cha ziada kionekane kinatokana na biashara yake ya duka, badala ya wizi, huyu naye akigundulika atapewa kesi ya utakayishaji fedha?
Swali jingine: Ni sababu gani inayofanya kesi hii watuhumiwa wake wanyimwe dhamana? Maana kesi ambazo hazina dhamana kisheria ni za makosa makubwa ambayo mtu kesi ambazo mtuhumiwa akikutwa na hatia anapewa adhabu kubwa kama vile kunyogwa, ila utakatishaji fedha adhabu yake sio kubwa na mtuhumiwa ananyimwa dhamana?
Mfano kuna kesi ya jamaa anaitwa Ndama mtoto wa ng'ombe inayohusu utakatishaji, adhabu yake ilikuwa ni miaka 5 jela, kesi ya kubaka ni miaka 30 jela na ina dhamana..
Kuna nini?
NDAMA Mtoto wa Ng'ombe ahukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya mil. 200 - MICHUZI BLOG
Wadau wa sheria kams Petro E. Mselewa Stanley Mitchell II Retired na wengine mnaojua sheria