The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,279
Hatuoni faida yake,Hii AMLA ipo kitambo na 2012 imefanyiwa amendment kuiboresha zaidi ipo vizuri kunyoosha mafisadi
Tija uliyokuwa unaitaka Ni ipi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuoni faida yake,Hii AMLA ipo kitambo na 2012 imefanyiwa amendment kuiboresha zaidi ipo vizuri kunyoosha mafisadi
Tija uliyokuwa unaitaka Ni ipi mkuu?
Kwa nini uhujumu uchumi una dhamana na utakatishaji fedha hauna dhamana?Hii AMLA ipo kitambo na 2012 imefanyiwa amendment kuiboresha zaidi ipo vizuri kunyoosha mafisadi
Tija uliyokuwa unaitaka Ni ipi mkuu?
Inawezekana chinchilla coat maana hakuna sababu ya msingi ya kufanya kesi hizo zisiwe na dhamana zaidi ya kukomoana. South Africa mpaka kesi za mauaji zina dhamanaKenya nasikia ina dhamana
Swali zuri sana hiliKwa nini uhujumu uchumi una dhamana na utakatishaji fedha hauna dhamana?
Kweli, tunaona inavyotumikaInawezekana chinchilla coat maana hakuna sababu ya msingi ya kufanya kesi hizo zisiwe na dhamana zaidi ya kukomoana. South Africa mpaka kesi za mauaji zina dhamana
Kuna yule jamaa ndugu yake Rostam Aziz alikua na kesi ya utakatishaji pesa kwa kukutwa na Dollar 9000 tu kwenye akaunti yake! Huyo ni mtu ambaye hua anafanya biashara za mabilioni! Kama asingejiongeza na kukiri kosa hivyo kuhukumiwa kulipa faini ya shilingi milioni mia mbili angeweza kukaa mahabusu hata miaka mitano wakati kesi yake ikiendelea!
Na utaona siku wakija kurejesha dhamana kwenye kesi hizi za utakatishaji basi mashtaka mengi watakayokua wanafunguliwa watu yatakua hayahusishi hili shtaka maana watu hua wanabambikiwa makusudi ili tu wakae ndani!
Imetumika kisiasa tena...Erick KabenderaHujambo?
Kuna mtu anatumia avatar yako humu na anaandika thread za kipuuzi puuzi.
Kuhusu topic yetu, sina uhakika kama kesi zote tunazoziita ni Money Laundering zinakidhi vigezo sahihi vya kimataifa kuita hivyo. Isipokuwa naona ni kama inatumika kisiasa kwa wale tunaotaka kuwasotesha gerezani.
Nitaandika kidogo kwenye post nyingine juu ya jinsi ambavyo case inachukuliwa kuwa sensitive kiasi cha kutokuwa na dhamana, ingawa siyo kwa upande wa kisheria, maana mimi siyo mwanasheria.
Here we go again