chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
- Thread starter
- #21
Kenya nasikia ina dhamanaMiongoni mwa sheria tulizopandikiziwa na mabeberu na kusema kweli zipo kwa ajili ya kuumiza na kukomoa watu! Sheria kama hizi zilianzia nchi za Ulaya na Marekani ili kulinda mabenki na Taasisi zao za fedha.
Watawala wa Kiafrika wakaichukua lengo kubwa(sio la wazi) ikawa ni kuitumia sheria hii ili kuwadhibiti watu kisiasa, kwamba kusiwe na pesa nyingi kwenye mzunguko au mikononi mwa watu zikatishia kuanguka kwa tawala zao maana watawala wa Kiafrika wanaamini mtu mwenye uwezo wa kiuchumi na fedha hatawaliki!!!
Kama waendesha mashtaka wakiona hawana ushahidi wa kutosha kukutia hatiani basi watatumia sheria ya utakatishaji pesa ili tu ukae ndani muda wote wa kusikilizwa kwa kesi yako hata kama ni miaka saba and for them, they have nothing to loose weather after all that time you will be convicted or not. Wanafurahi wameshakuadhibu, wameharibu maisha yako na familia yako n.k!
Natamani atokee mtu akai challenge hii sheria mahakamani ifutiliwe mbali kwa sababu inapingana na katiba kwamba mtu yeyote atakua hana hatia mpaka mahakama ithibiishe vinginevyo