nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
kosa la lema ni kuota..
Wanasheria wa Lema wanachemsha sana vifungu..na asipoangalia atakaa mahabusu mwaka mzima kabla ya kesi ya msingi kusikilizwa kwa sababu tu ya upuuzi wa hawa jamaa.Nawashangaa hawa jamaa kila siku wako kwenye dana dana za rufaa! Au wanasheria wanataka kutajirikia kwenye kesi ya Lema?
Ilitakiwa isikilizwe, akiri au kukana kosa la uchochezi then kieleweke...
Haiwezi kusikilizwa hadi watakapo maliza masuala ya dhamana,hilo liko juu ya mawakili wa lema wakiacha hizo rufaa basi atakaandani hadi kesi iishe,hivyo wenyewe wanataka apate dhamana na kesi isikilizwe akiwa nje.Nawashangaa hawa jamaa kila siku wako kwenye dana dana za rufaa! Au wanasheria wanataka kutajirikia kwenye kesi ya Lema?
Ilitakiwa isikilizwe, akiri au kukana kosa la uchochezi then kieleweke...
Zinakutosha??Kesi ya Msingi ya Lema ni Upuuzi kupita Maelezo, Majaji wa Tanzania wangekuwa ni Watu huru na Makini Katika hizi kesi za Kijinga wangetakiwa kutuzitupilia Mbali kesi na Kutoa Onyo Kali kwa waendesha mashitaka wa Serikali. Ningekuwa Jaji hawa washenzi wanaoleta kesi za Kijinga jinga ningewaweka Rumande masaa 48 ili Serikali ya Magufuli ijifunze adabu, na iache Kuzitumia Mahakama za Tanzania kama toilet papers za kujifutia maninii yao!