Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,641
- 22,240
Tangu kesi ya Mbowe ianze ilielezea kidogo sana matukio ya Moshi ambako ndiko tulitegemea milango ilifanyika, sana tulichoshuhudia mbege party, manunuzi ya vocha za simu na safari za hapa na pale.
Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.
Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.
Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake
Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?
Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?
Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.
Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.
Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake
Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?
Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?