Kwanini kesi ya Mbowe imejikita kwenye ushahidi wa Mapolisi kukamata kuliko zana na mipango ya ugaidi?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,641
22,240
Tangu kesi ya Mbowe ianze ilielezea kidogo sana matukio ya Moshi ambako ndiko tulitegemea milango ilifanyika, sana tulichoshuhudia mbege party, manunuzi ya vocha za simu na safari za hapa na pale.

Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.

Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.

Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake

Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?

Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?
 
Mimi nikadhani walikamata vilipuzi,maguruneti,mapanga na mashoka vya kufanyia ugaidi mashahidi wanachokifanya mahakamani ni kutupa stories za kukamata, tulitegemea ushahidi wa Kingai, Mahita na Jumanne ulikuwa unatosha kudhibitisha ugaidi lakini wanachokifanya ni upumbavu wa kutunga.

Ushahidi ambao hauna voice note wala DNA ni upumbavu

Siku yule wa Tigo anatoa ushahidi nilitegemea atakuwa analeta SMS za mbowe walivyokuwa wanapanga kufanya ugaidi au voice za akina mbowe badala yake analeta stories za miamala ya laki 5 upumbavu wa kutupwa huu, tulishindwa kuhusisha kutuma laki 5 kwa mtu ni ugaidi huu ni uchuro, laki tano hata Bomu haiwezi ikanunua

Yaani serikali inatumia kamasi kufikiri kama huu ndo ushahidi wa ugaidi
 
Ungeandika kichwa cha habari; "Kwanini kesi ya Mbowe imejikita kwenye ushahidi wa polisi kuliko raia wa kawaida" naona ingependeza zaidi.
 
Police na DPP wamefungua mashtaka ya kuhisi - yaani walihisi kina Mbowe wanakwenda kulipua vituo vya mafuta visivyojulikana, kupanga maandamano yasiyojulikana, kukata magogo na kuyalaza barabarani, barabara zipi haijulikani - ushahidi wa moja kwa moja wa namna mipango ilivyopangwa kufanyika haupo, tarehe na wahusika kamili hakuna, ni kuhisi kama vile wapiga ramli.

Kwa ushahidi huu yaani tunaishia kunywa Mbege tu pale Rau Madukamani kwa Mama Pendo.
 
Mimi nikadhani walikamata vilipuzi,maguruneti,mapanga na mashoka vya kufanyia ugaidi .....mashahidi wanachokifanya mahakamani ni kutupa stories za kukamata,tulitegemea ushahidi wa Kingai,Mahita na Jumanne ulikuwa unatosha kudhibitisha ugaidi lakini wanachokifanya ni upumbavu wa kutunga ..Ushahidi ambao hauna voice note wala DNA ni upumbavu .

Siku yule wa Tigo anatoa ushahidi nilitegemea atakuwa analeta sms za mbowe walivyokuwa wanapanga kufanya ugaidi au voice za akina mbowe badala yake analeta stories za miamala ya laki 5 ,upumbavu wa kutupwa huu, tulishindwa kuhusisha kutuma laki 5 kwa mtu ni ugaidi huu ni uchuro,laki tano hata Bomu haiwezi ikanunua

Yaani serikali inatumia kamasi kufikiri kama huu ndo ushahidi wa ugaidi
Unafikiri Hadi kesi wanaipigia Chapo kwenye dayari na simu, kama wanafunzi wavivu na wasio waaminifu ndani ya vyumba vya mtihani.
 
Mimi nikadhani walikamata vilipuzi,maguruneti,mapanga na mashoka vya kufanyia ugaidi .....mashahidi wanachokifanya mahakamani ni kutupa stories za kukamata,tulitegemea ushahidi wa Kingai,Mahita na Jumanne ulikuwa unatosha kudhibitisha ugaidi lakini wanachokifanya ni upumbavu wa kutunga ..Ushahidi ambao hauna voice note wala DNA ni upumbavu .

Siku yule wa Tigo anatoa ushahidi nilitegemea atakuwa analeta sms za mbowe walivyokuwa wanapanga kufanya ugaidi au voice za akina mbowe badala yake analeta stories za miamala ya laki 5 ,upumbavu wa kutupwa huu, tulishindwa kuhusisha kutuma laki 5 kwa mtu ni ugaidi huu ni uchuro,laki tano hata Bomu haiwezi ikanunua

Yaani serikali inatumia kamasi kufikiri kama huu ndo ushahidi wa ugaidi
Kama hali itakuwa hivihivi tutegemee hisani ya Jaji.
 
Police na DPP wamefungua mashtaka ya kuhisi - yaani walihisi kina Mbowe wanakwenda kulipua vituo vya mafuta visivyojulikana, kupanga maandamano yasiyojulikana, kukata magogo na kuyalaza barabarani, barabara zipi haijulikani - uhadhidi wa moja kwa moja wa namna mipango ilivyopangwa kufanyika haupo, tarehe na wahusika kamili hakuna, ni kuhisi kama vile wapiga ramli.

Kwa ushahidi huu yaani tunaishia kunywa Mbege tu pale Rau Madukamani kwa Mama Pendo.
Asikuambie mtu tutu, mbege tamu, Tena ya pale Rau madukani.
 
Ungeandika kichwa cha habari; "Kwanini kesi ya Mbowe imejikita kwenye ushahidi wa polisi kuliko raia wa kawaida" naona ingependeza zaidi.
Raia wa kawaida wapo upande wa mashitaka nao ni dada muuza mbege maarufu wa Rau Madukani, wakili wa Tigo na mpambe wa Sabaya, waliobeba uzito wa kesi ni polisi tu na wako Dar. Chimbuko la kesi ni ugaidi na ugaidi hutegemea zana si maneno.
 
Ni Kwa vile Watanzania ni waoga, na kuhoji ni Kesi. Angalia jinsi Speaker alivyopanic..

DPP akishafungua Kesi mahakamani, police igp hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kudhibitisha

Rais hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kumkuta na hatia.

Ccm walimkana HAMZA, na ni mfadhili wao, na vitendo alifanya. Hiyo intelligence ya police Iko Wapi?

Mpaka Magaidi wanaingia kibiti, intelligence ilikuwa wapi?

Yaani mpaka Magaidi wafanye tukio ndio mkamate

Ushahidi: ziko wapi powersaw za kukata miti?

Wako wapi watu walioandaliwa kukata miti..
 
Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.

Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.
Hapa ndio hata shetani alishindwa ktk matendo yake ya kiovu
 
Ni Kwa vile Watanzania ni waoga, na kuhoji ni Kesi. Angalia jinsi Speaker alivyopanic..

DPP akishafungua Kesi mahakamani, police igp hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kudhibitisha

Rais hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kumkuta na hatia.

Ccm walimkana HAMZA, na ni mfadhili wao, na vitendo alifanya. Hiyo intelligence ya police Iko Wapi?

Mpaka Magaidi wanaingia kibiti, intelligence ilikuwa wapi?

Yaani mpaka Magaidi wafanye tukio ndio mkamate

Ushahidi: ziko wapi powersaw za kukata miti?

Wako wapi watu walioandaliwa kukata miti..
Walioandaliwa ni waliokamatwa wakiwa na madawa ya kulevya! Kuna mikoa ili mtu akulimie shamba mpelekee pombe shambani.
 
Tangu kesi ya Mbowe ianze ilielezea kidogo sana matukio ya Moshi ambako ndiko tulitegemea milango ilifanyika, sana tulichoshuhudia mbege party, manunuzi ya vocha za simu na safari za hapa na pale.

Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.

Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.

Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake

Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?

Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?

Hicho kinachoendelea hapo mahakamani kwenye hiyo kesi, ndio kinachochangia wazungu kuendelea kutuita manyani. Wanajiuliza ilikuwaje mpaka rais wa nchi aseme hilo jambo lina ushahidi, halafu ushahidi ndio kama huo.
 
Ni Kwa vile Watanzania ni waoga, na kuhoji ni Kesi. Angalia jinsi Speaker alivyopanic..

DPP akishafungua Kesi mahakamani, police igp hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kudhibitisha

Rais hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kumkuta na hatia.

Ccm walimkana HAMZA, na ni mfadhili wao, na vitendo alifanya. Hiyo intelligence ya police Iko Wapi?

Mpaka Magaidi wanaingia kibiti, intelligence ilikuwa wapi?

Yaani mpaka Magaidi wafanye tukio ndio mkamate

Ushahidi: ziko wapi powersaw za kukata miti?

Wako wapi watu walioandaliwa kukata miti..

Cha ajabu mbunge wa ccm huko Shinyanga aliyekutwa na silaha zaidi ya 10 yuko nje na hana tuhuma za ugaidi. Kisha kila siku magari ya serikali yanachoma mafuta kwenda mahakamani kulazimisha bastola moja ndio ilikuwa iende kutenda ugaidi!
 
Raia wa kawaida wapo upande wa mashitaka nao ni dada muuza mbege maarufu wa Rau Madukani, wakili wa Tigo na mpambe wa Sabaya, waliobeba uzito wa kesi ni polisi tu na wako Dar. Chimbuko la kesi ni ugaidi na ugaidi hutegemea zana si maneno.
Hawa hapa.
tapatalk_1636786498680.jpg
 
Back
Top Bottom