Kwanini Kenya wamefuta Mitihani ya Taifa kwenye Mtaala mpya?

Kama unataka kujua mengi zaidi kuhusu mtaala wenyewe fanya risechi yako mwenyewe. Sio jukumu langu kukuelimisha, acha uvivu.
Hahahaha, Sasa kwanini mnaweka Mambo hapa JF Kama hamna uwezo ya kuyafafanua?, Lengo la JF ni mijadala yenye kuelimishana na kubadilishana uzoefu wa Mambo mbalimbali.
 
Hapo sasa, mtaala huo mpya wa CBC unatilia mkazo kwenye 'competence'. Yaani uwezo wa mwanafunzi 'ku-apply' hiyo 'knowledge' aliyoipata shuleni kwenye maisha ya kawaida. Sio tu kwenye shughuli ya kupita mitihani ya 'kitaifa'. Ambayo sasa itatupiliwa mbali na nafasi yake kujazwa na mitihani kadhaa(assessments). Ambazo zitakuwa zinafanywa mara kwa mara, sio tu mwisho wa mwaka au labda baada ya miaka 6 ya elimu ya shule ya msingi/miaka 6 ya shule ya upili.
Wapi hiyo ilishawahi kutumika duniani ili tujaribu kupima ufanisi wake.
 
Hahahaha, Sasa kwanini mnaweka Mambo hapa JF Kama hamna uwezo ya kuyafafanua?, Lengo la JF ni mijadala yenye kuelimishana na kubadilishana uzoefu wa Mambo mbalimbali.
Nadhani uzi huu ulikuwa kwenye jukwaa lingine na aliyeibuka nao ni mtanzania mwenzenu. Anyway, tashwishi halipo kwenye uwezo wangu wa kufafanua. Bali ni kwamba sina huo muda wa kudadavua kila jambo, kwa yeyote yule anayetaka kutafuniwa. Sitalipwa kwa huduma hiyo, ambayo itapoteza muda wangu bure. Kwa Kikikuyu huwa wanasema, ní gútee! Kumaanisha ni hasara tupu! Au ukipenda, ní úrimú! 😄
 
Wapi hiyo ilishawahi kutumika duniani ili tujaribu kupima ufanisi wake.
Mfumo wa 8-4-4, ambao umekuwa ukitumiwa kwa miaka mingi nchini Kenya ulibuniwa na wakenya wenyewe. Wala hautumiki sehemu yeyote ile nyingine duniani. Licha ya mfumo huo wa zamani kuwa na mapungufu yake bado umekuwa wa faida kubwa sana kielimu nchini Kenya na una afueni zaidi ya mifumo yote inayotumiwa kwenye nchi zote zingine ukanda huu wa A.M na ya Kati.

Kwa ufupi ni kwamba tuna uwezo wa kubuni na kujipangia wenyewe. Sio lazima tuige kwenye kila jambo, elimu ni suala nyeti mno.
 
Akimtaja unitag mkuu!!Mi sijaona hata Mimi ni graduate LAKINI nazalisha ajira za house girl tu na kuuza duka out of the professional yangu!!!
Hawezi kumtaja wala kujua chochote na hajui kwenye ajira hawatizami matokeo yako but education, skills, knowledge and sometimes experiences.

Mambo ya nilikuwa naongoza skuli au kuwa best scholar in country HAKUNA kitu hicho duniani.
 
Nadhani uzi huu ulikuwa kwenye jukwaa lingine na aliyeibuka nao ni mtanzania mwenzenu. Anyway, tashwishi halipo kwenye uwezo wangu wa kufafanua. Bali ni kwamba sina huo muda wa kudadavua kila jambo, kwa yeyote yule anayetaka kutafuniwa. Sitalipwa kwa huduma hiyo, ambayo itapoteza muda wangu bure. Kwa Kikikuyu huwa wanasema, ní gútee! Kumaanisha ni hasara tupu! Au ukipenda, ní úrimú! 😄
Ni throw. aya tigana nao . yaani kumaanisha CBC iko sawa
 
Mfumo wa 8-4-4, ambao umekuwa ukitumiwa kwa miaka mingi nchini Kenya ulibuniwa na wakenya wenyewe. Wala hautumiki sehemu yeyote ile nyingine duniani. Licha ya mfumo huo wa zamani kuwa na mapungufu yake bado umekuwa wa faida kubwa sana kielimu nchini Kenya na una afueni zaidi ya mifumo yote inayotumiwa kwenye nchi zote zingine ukanda huu wa A.M na ya Kati.

Kwa ufupi ni kwamba tuna uwezo wa kubuni na kujipangia wenyewe. Sio lazima tuige kwenye kila jambo, elimu ni suala nyeti mno.
Huu ambao hamuwezi kuingia vyuo nchi za magharibi bila kufanya a levels equivalent!
 
Mfumo wa 8-4-4, ambao umekuwa ukitumiwa kwa miaka mingi nchini Kenya ulibuniwa na wakenya wenyewe. Wala hautumiki sehemu yeyote ile nyingine duniani. Licha ya mfumo huo wa zamani kuwa na mapungufu yake bado umekuwa wa faida kubwa sana kielimu nchini Kenya na una afueni zaidi ya mifumo yote inayotumiwa kwenye nchi zote zingine ukanda huu wa A.M na ya Kati.

Kwa ufupi ni kwamba tuna uwezo wa kubuni na kujipangia wenyewe. Sio lazima tuige kwenye kila jambo, elimu ni suala nyeti mno.
Hili ndio tatizo lenu wakenya, kujisifia hovyo bila kuwa na vigezo vyovyote;
1)Kenya imeendelea kuwa na tatizo la unemployment rate kubwa kuliko nchi zote za ukanda huu
2)Kenya imeendelea kuwa na very poor civil engineers katika ukanda huu na Africa kwa ujumla, majumba yanayoporomoka Kenya kwa mwaka ni sawa au kuzidi Nyumba zote zinazoporomoka Africa Nzima
3)Kenya imeshindwa kupambana na tatizo la ukame miaka yote tangu 1963
4)Elimu ya Kenya imeshindwa kabisa kupambana na ukabila
5)Tatizo la maji ni sugu Kenya
6)Rushwa imekita mizizi Kenya

Elimu nzuri ni Ile inayoiwezesha jamii husika kutatua matatizo yake, sio kukimbilia nchi za nje kufanya kazi ili kutuma pesa nyumbani, huo ubora wa Elimu ya Kenya unaonekana wapi?
 
Hili ndio tatizo lenu wakenya, kujisifia hovyo bila kuwa na vigezo vyovyote;
1)Kenya imeendelea kuwa na tatizo la unemployment rate kubwa kuliko nchi zote za ukanda huu
2)Kenya imeendelea kuwa na very poor civil engineers katika ukanda huu na Africa kwa ujumla, majumba yanayoporomoka Kenya kwa mwaka ni sawa au kuzidi Nyumba zote zinazoporomoka Africa Nzima
3)Kenya imeshindwa kupambana na tatizo la ukame miaka yote tangu 1963
4)Elimu ya Kenya imeshindwa kabisa kupambana na ukabila
5)Tatizo la maji ni sugu Kenya
6)Rushwa imekita mizizi Kenya

Elimu nzuri ni Ile inayoiwezesha jamii husika kutatua matatizo yake, sio kukimbilia nchi za nje kufanya kazi ili kutuma pesa nyumbani, huo ubora wa Elimu ya Kenya unaonekana wapi?
Acha kupoteza muda wako ukijaza pumba zako kwenye servers. CBC haijaanza jana na kwa muda wote huo wa uwepo wake hakuna uzi wowote umeanzishwa humu na wakenya. Nyinyi wenyewe ndio mmeibuka na taarifa zenyewe humu na nyinyi wenyewe tu ndio mnaisifia. Huku mkiponda vyenu, yaani mnajitekenya na kucheka wenyewe kama machizi.
 
Hapo sasa, mtaala huo mpya wa CBC unatilia mkazo kwenye 'competence'. Yaani uwezo wa mwanafunzi 'ku-apply' hiyo 'knowledge' aliyoipata shuleni kwenye maisha ya kawaida. Sio tu kwenye shughuli ya kupita mitihani ya 'kitaifa'. Ambayo sasa itatupiliwa mbali na nafasi yake kujazwa na mitihani kadhaa(assessments). Ambazo zitakuwa zinafanywa mara kwa mara, sio tu mwisho wa mwaka au labda baada ya miaka 6 ya elimu ya shule ya msingi/miaka 6 ya shule ya upili.
Mkuu hoja iko chini sana.

Unasema mtoto kwa kuaplai kwenye maisha???

Are you serious??

Mwalimu atamkuta wapi huyo mtoto ili ampime kama anaweza kuaplai noleji aliyoipata shuleni??
 
Kuna kitu kinaitwa Triangle hii ilitokana na uchache wa Shule kipindi hicho kwa hiyo ili kuchuja wanafunzi na kupata wachache besties ilibidi utumike mfumo huo ila kwasasa kutokana na Elimu kutanuka hauna haja tena pongezi kwa Wakenya kwa kuliona hilo
 
Mtoto some shule ya msingi ila akifika olevel achague fani akishindwa tutamchagulia tena kwa fimbo

Huko sasa anapewa kazi ya ubunifu kwa lazima kwanza. Unapewa assignment unda au tengeneza ant virus ya computer kwa wale watakao somea mambo ya computer ukishindwa viboko.

Mechanical engineer atutengenezee engine ya piki piki au bajaji tena aeleze na mechanism yake akishindwa viboko vya mgongoni yaan kama China tu.

Dunia ya sasa ni mwendo wa technolojia lazima tuende nayo

Elon musk ni scientist mzur sana mzee wa space X kwa nn sisi tusiweze?

Mtoto akipenda history asome vzr yaaan awe deep na history ya sehem fulan atapimwa kwa kuandika vitabu.

Kiswahili hivo hivo ukishindwa viboko
Mkuu nafurahi kuona kwamba kuna watu km nyie tunawaza pamoja
 
Hili ndio tatizo lenu wakenya, kujisifia hovyo bila kuwa na vigezo vyovyote;
1)Kenya imeendelea kuwa na tatizo la unemployment rate kubwa kuliko nchi zote za ukanda huu
2)Kenya imeendelea kuwa na very poor civil engineers katika ukanda huu na Africa kwa ujumla, majumba yanayoporomoka Kenya kwa mwaka ni sawa au kuzidi Nyumba zote zinazoporomoka Africa Nzima
3)Kenya imeshindwa kupambana na tatizo la ukame miaka yote tangu 1963
4)Elimu ya Kenya imeshindwa kabisa kupambana na ukabila
5)Tatizo la maji ni sugu Kenya
6)Rushwa imekita mizizi Kenya

Elimu nzuri ni Ile inayoiwezesha jamii husika kutatua matatizo yake, sio kukimbilia nchi za nje kufanya kazi ili kutuma pesa nyumbani, huo ubora wa Elimu ya Kenya unaonekana wapi?
🤣🤣🤣

Ebu soma huu uzi wa Mtanzania mwenzako Bwana Joto. Labda utaelewa wenzako wanachomaanisha wakisema elimu ya Kenya ina hadhi kuliko ya Bongo.

 
Back
Top Bottom