Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
hahahhaha. huna data. lete basi katibu mkuu musilam baraza la mitihani?
Hoja ya kuthibitisha iko kwako na siyo kwangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhaha. huna data. lete basi katibu mkuu musilam baraza la mitihani?
Umehamia kwenye chama? basi wacha nikuambie ... sweetlady yuko cuf
Hakuna jambo la mcng la kujadiliwa hapa! Mnapenda kuongelea mambo ya udin wkt Tz hayo mambo hayapo! Mnataka kuvuruga amani ya nchi kw isue zenu zczo na kchw wla miguu! Hv ww una elimu gn? Manake km umesoma kwel ungeanza kuwaelimisha hao waislam wenzio wnye mawazo ya ajab. Mcpende kujfanya wehu wkt akil mnazo!
Hebu na wewe unisaidie kumshangaa!! Vyama vnakujaje tn wajamen?
chama gani wewe? kama chadema unaongoza kwa uchochezi
kwa sababu chadema cha wakiristo, chadema wachochezi
Amani ya nchi hii imeshikiliwa na waislam. Halafu umesema udini haupo?! hapo ndio tunasema mfumo kristo ndio sera yake kuwa mna act kuwa haupo udini kumbe ninyi mnafanya ufisadi mkubwa wa mali za walalahoi kwa mgongo wa udini wenu. Tunaomba makanisa yaache kuinajisi nchi kwa kuiba mali za wote na kujinufaisha lenyewe
Ibrahimu wakati anapewa hiyo nafasi alisha litadi uislam.Hawa uliowaandika walikuwa wenyeviti sio makatibu watendaji (Executive Secretary(ies)) wa baraza. Huyo M. Kaduma ni Ibrahim M. Kaduma ambaye wakati akiwa kwenye baraza alikuwa mwislamu. Huna data wewe.
kwa tafsiri yako basi cuf na ccm ni vya waislamu.
Kuna shutuma kwamba baraza la mitihani ndio chanzo cha waislam kuwa nyuma. ktk mijadala yao mingi hulitaja baraza la mithani kama ni source ya wao kuwa nyuma.
wanasema eti sio bahati mbaya kuwa baraza hilo kutoongozwa na muislam .
Ijapokuwa waziri huwa muislam.lkn wanaamini katibu mkuu ndio mtendaji mkuu.
jee kuna katibu yoyote muislam?
hawa hapa ni wenyeviti
1973-1977=Pius Msekwa
1977-1980= M Kaduma(mkristo)
1980-1988=Nikoras Kuhanga
1988-1992=Prof Mmali
1992-1999=Prof Ruhanga
1999-2004=Prof Mmali
2004-2009=Prof Mwaikando
2009-hadi leo Prof Mkandala
kwani ccm wanasera a
za mistri?
Cdm.
kwanza waislam tujiweke sawa katika taasisi ya kiislam itakayo kuwa na vision kwa manufaa ya jamii ya kiislam tanzania kabla ya kufikiria nafasi za serikalini. MBONA HUJAULIZA NI LINI TANGANYIKA ITAKUA NA SHEIKH MKUU MWENYE PHD,MASTERS YA WALAU ISLAMIC STUDIES?
Ibrahimu wakati anapewa hiyo nafasi alisha litadi uislam.
Ibrahimu wakati anapewa hiyo nafasi alisha litadi uislam.
chadema twi la kanisa, zizi la kanisa
mwenye data ya kaibu mkuu muislam aweke data, anisute, nisutike na anite mdini
mbona unahama mada taratbu? Chadema, ccm, na cuf havihusian na mada ilyoko! Au umegundua kuwa ume2danganya na limada lako?
mimi mjinga wewe mwerevu nafisadi.kumbe wapo walioshika waislam? Huwaoni ukinipa tu nahamia chadema kesho nachukua kadiwewe ndo ulete orodha ya ukweli ya makatibu watendaji wa baraza la mitihani ndipo tujadili na sio orodha yako ya kutunga uliyoileta na kwa kukusaidia na kukuumbua ni kwamba kwa sasa nafasi hiyo inashikwa na dr. Joyce ndalichako na si mukandala! Mwongo wewe mzushi wewe ***** wewe mchochezi wewe huna hekma wewe mpuuzi wewe mjinga wewe si mtafiti wewe mleta stori za kwenye gahwa na mashehe ubwabwa waganga njaa walioshindwa maisha na sasa wanataka kuvuruga taifa kamwe hamtofanikiwa na fitna na hila zenu! Do your homework mr. Empty head!