NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Nimeona niulize swali hiyo kwenye ukurasa huu wa Historia pengine kuna watu walionizidi umri kama kina mzee Mohamed Said wanaweza kuchangia
Walitawala kwa namna mbaya zaidi kwani hawakuwapa elimu na waliwageuza kivutio cha Utalii (sorry to say that).Nimeona niulize swali hiyo kwenye ukurasa huu wa Historia pengine kuna watu walionizidi umri kama kina mzee Mohamed Said wanaweza kuchangia
Nimeona niulize swali hiyo kwenye ukurasa huu wa Historia pengine kuna watu walionizidi umri kama kina mzee Mohamed Said wanaweza kuchangia
Nimeona niulize swali hiyo kwenye ukurasa huu wa Historia pengine kuna watu walionizidi umri kama kina mzee Mohamed Said wanaweza kuchangia
Sikweli kwamba wamasai hawakutawaliwa!! Iko hivi wakoloni baada ya kuligawana bara la africa 1885, Koloni la Ujerumani Afrika mashariki (leo hii Rwanda, Burundi na Tanzania bara) likawa chini ya kampuni la kijerumani la Afrika mashariki(GEACO) mpka 1890. Sasa kipind hiki yaan 1885-1890s kilikuwa kipindi cha kusimika utawala wa kikoloni, hapa ndipo maeneo mengi yalipinga kutawaliwa, maana jamii hizo ziliamin kuwa zitapoteza mali, ardhi, uongozi(kwa wafalme), na umaarufu ktk jamii. Lakin kuna jamii ambazo ilikuw rahisi kuzitawala bila mapigano hasa jamii za wafugaji (pastoral societies) mfano maasai na wawindaji(hunters) mfano hadzabe. Maana wakoloni hawakutumia nguvu nyingi sehemu ya jamii ambazo hazikuonyesha upinzani. Ndoo maana historia inaandika sana maeneo ambayo jamii zilipigana vikali mfano, kina mkwawa, mangi meli, mangi sina, mareale, abushiri, isike, machemba, kinjekitile, mazengo, na wengineo wengi. Kiufupi nikwamba Maeneo ambapo wakoloni walipata upinzani mkali ndio yameandikwa zaidi ila jamii zote zilizokuwa kwenye koloni la ujerumani Afrika Mashariki (Leo hii Rwanda, Burundi na Tanzania bara) zilitawaliwa.Nimeona niulize swali hiyo kwenye ukurasa huu wa Historia pengine kuna watu walionizidi umri kama kina mzee Mohamed Said wanaweza kuchangia
Fafanua mrembo wanguNadhani ni kwasababu wamasai walithamini sana utamaduni wao,
Njia rahisi ya kumtawala mtu ni kumharibia utamaduni wake
Nimeona niulize swali hiyo kwenye ukurasa huu wa Historia pengine kuna watu walionizidi umri kama kina mzee Mohamed Said wanaweza kuchangia
MkuuNimeona niulize swali hiyo kwenye ukurasa huu wa Historia pengine kuna watu walionizidi umri kama kina mzee Mohamed Said wanaweza kuchangia
Mkuu, kila siku uwa najiuliza hilo swali.Mashuka wanayovaa Ni utamaduni wa wazungu
Huo utamaduni wameiga tu,Mkuu, kila siku uwa najiuliza hilo swali.
Inakuaje tunasema/wanasema kuvaa mashuka ni utamaduni wa Kimasai/wamasai?
Sijawai kusikia kuna kiwanda kilichokua/kilichopo chini ya Wamasai ambacho kinatengeneza hayo mashuka.
Na kama hawatengenezi hayo mashuka inamaanisha wanayanunua toka nchi/sehemu nje ya Wamasai, hivyo sioni kwanini kuvaa mashuka tuseme ni utamaduni wao.