shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,431
Amani kwenu wanajukwaa ni matumaini mu wazima
Ni swali nimekuwa nikijiuliza kwanini mikoa ya kilimanjaro arusha,iringa,mbeya,mwanza,kagera,shinyanga,kigoma vyama vya upinzani hususan chadema vimekuwa na nguvu ukilinganisha na segemu zingine kama vile kanda ya kati na pwani ni nin hasa chanzo na ni kwanin kanda hizi pwani na kati imekuwa ngome kuu ya ccm msaada tafadhali
Ni swali nimekuwa nikijiuliza kwanini mikoa ya kilimanjaro arusha,iringa,mbeya,mwanza,kagera,shinyanga,kigoma vyama vya upinzani hususan chadema vimekuwa na nguvu ukilinganisha na segemu zingine kama vile kanda ya kati na pwani ni nin hasa chanzo na ni kwanin kanda hizi pwani na kati imekuwa ngome kuu ya ccm msaada tafadhali