Ikitotanzira
Member
- Feb 12, 2019
- 24
- 151
Kamati ya maadili haina maana tena. Ili inafanya kama Mahakama na mahakamani mtuhumiwa anaweza shinda au kushindwa.
Sasa sijawahi kuona mtu anaitwa halafu anashinda, sasa ile ni kamati ya maadili kweli au ni rubber stamp tu ya Ndugai?
Sasa sijawahi kuona mtu anaitwa halafu anashinda, sasa ile ni kamati ya maadili kweli au ni rubber stamp tu ya Ndugai?