Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,364
- 33,003
Katika mikoa ambayo imekuwa victim wakubwa wa siasa za awamu ya Tano ni hii ambayo inaitwa "Mikoa ya Kaskazini" wengi najua mnaifahamu.
Jana wapiganaji wetu wa JWTZ wamepewa amri kuzingira maduka ya kubadili fedha yaliyoko Arusha, ikumbukwe tu kuwa uchumi wa Arusha na Kilimanjaro unategemeana sana. Kwa maana sehemu moja ikiharibika kote kunakuwa kumeharibika.
Maduka ya kubadili fedha Tanzania hayapo Arusha peke yake. Yapo Dsm, Mwanza,Dodoma na hata Iringa. Lakini bwana mkubwa alipotaka kuonesha umwamba wake ameamua kuufanyia Arusha.
Mimi nauliza kwa nini bwana mkubwa kaamua kuzikomoa bureau de change za Arusha na siyo Mwanza?
Jana wapiganaji wetu wa JWTZ wamepewa amri kuzingira maduka ya kubadili fedha yaliyoko Arusha, ikumbukwe tu kuwa uchumi wa Arusha na Kilimanjaro unategemeana sana. Kwa maana sehemu moja ikiharibika kote kunakuwa kumeharibika.
Maduka ya kubadili fedha Tanzania hayapo Arusha peke yake. Yapo Dsm, Mwanza,Dodoma na hata Iringa. Lakini bwana mkubwa alipotaka kuonesha umwamba wake ameamua kuufanyia Arusha.
Mimi nauliza kwa nini bwana mkubwa kaamua kuzikomoa bureau de change za Arusha na siyo Mwanza?