Kwanini Jumuiya za CCM zimekubuhu kwa unyang'au na Ufisadi? Kila ripoti ya CAG ni lazima watajwe wao

Hizo ndizo sifa za fisiemu, ukiunganisaha na zile trion1.5 ambazo hazikujulikana matumizi yake, kumtafuta msafi ndani ya CCM ni kuitafutia CCM sifa ambayo haijawahi kuwa nayo.
 
Hizi jumuiya za CCM yaani UWT, UVCCM na Wazazi zimekuwa zikihusishwa na ufisadi unaokichafua chama mara kwa mara.

Last year ilikuwa UVCCM ambapo CAG Prof Assad alifoka sana leo ten Jumuiya ya wazazi imerudia yale yale na kukemewa vikali na Kichere.

Kama vipi hizi Jumuiya zivunjiliwe mbali ili kukitakasa chama na tuhuma za mara kwa mara za ufisadi na unyang'au. Mbona hatusikii Bawacha, Bavicha au Ngome ya Vijana ACT wakitajwa kila siku ni UVCCM na Wazaxi tu!!!

Mnakera sana bhana.

Maendeleo hayana vyama!
Wizi wa Mali za umma ni sera ya Siri ya ccm,hata kufanyia vikao ikulu bila kulipia au wanaccm kupanda ndege ya umma bure nao ni wizi Kama wizi mwingine tu
 
Hizi jumuiya za CCM yaani UWT, UVCCM na Wazazi zimekuwa zikihusishwa na ufisadi unaokichafua chama mara kwa mara.

Last year ilikuwa UVCCM ambapo CAG Prof Assad alifoka sana leo ten Jumuiya ya wazazi imerudia yale yale na kukemewa vikali na Kichere.

Kama vipi hizi Jumuiya zivunjiliwe mbali ili kukitakasa chama na tuhuma za mara kwa mara za ufisadi na unyang'au. Mbona hatusikii Bawacha, Bavicha au Ngome ya Vijana ACT wakitajwa kila siku ni UVCCM na Wazaxi tu!!!

Mnakera sana bhana.

Maendeleo hayana vyama!
Huo ni ukoo wa panya,ccm hakuna msafi wote wezi meko ndio fisadi papa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom