Ndugu wanaJF, rais amekuwa akitumia style ya kuongea na wale wanaojiita 'wazee' wa Dar es salaam kila anapotaka kujibu mapigo katika masuala mbalimbali. Sikuona akifanya hivyo kwa wakati wote ambao madaktari walikuwa kwenye mgomo. Pamoja na kwamba mgomo umekwisha, naomba kupata maoni yenu kuhusu hili. Naomba kuwasilisha.