mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
Hivi masharti ya kuomba uraia wa Zambia yakoje ,nataka niukane U Tz bana maana mizaha imekuwa mingi hapa ni porojo tu mara nitaleta bajaj ambazo ni ambulance ,mara walioiba EPA tunawaomba warudishe ,mara wauza unga tunawajua tafadhali hiyo biashara waache ,haya ni masihara ngoja tuhamie kwa walio serious