Dr Klinton
Senior Member
- Jan 21, 2012
- 123
- 152
Unajua mtu mwizi ukimuangalia tu usoni utamjua mwangalie macho tu utaona unafiki wake
huyu jamaaa anakuwa na ujasiri gani kujaribu kujisafisha yeye na serikali yake wakati
uchunguzi bado?
Hebu jiulizeni wananjamvi huyu jamaa yuko focused kweli au amechanganyikiwa na kwa siri yake kufichuka from this failed assassination.....
Am just thinking
huyu jamaaa anakuwa na ujasiri gani kujaribu kujisafisha yeye na serikali yake wakati
uchunguzi bado?
Hebu jiulizeni wananjamvi huyu jamaa yuko focused kweli au amechanganyikiwa na kwa siri yake kufichuka from this failed assassination.....
Am just thinking