Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Wapendwa,
Naomba kueleweshwa, mwaka 2005 Kikwete alipata uungwaji mkono mkubwa sana hasa kutoka kwenye jamii ya kikristo. Kumbuka pale Kilaini ailimpotangaza kuwa chaguo la mungu Jangwani, kwa lengo la kuhimiza wakristo kumchagua Kikwete. Na kiwete alipata kura nyingine kuliko Mkapa (Mkatoliki).
Swali kwanini Jamii hii ya kikristo ilimgeuka na kumuadhibu 2010?
Naomba kueleweshwa, mwaka 2005 Kikwete alipata uungwaji mkono mkubwa sana hasa kutoka kwenye jamii ya kikristo. Kumbuka pale Kilaini ailimpotangaza kuwa chaguo la mungu Jangwani, kwa lengo la kuhimiza wakristo kumchagua Kikwete. Na kiwete alipata kura nyingine kuliko Mkapa (Mkatoliki).
Swali kwanini Jamii hii ya kikristo ilimgeuka na kumuadhibu 2010?