Sasa mkuu jamaa ndo wameshaanza hiyo OP na hiyo Aircraft carrier Vinsion ndio inatawala huku ikiwa imezungukwa na destroyers na submarine chini ya maji mbona hatujasikia tena tamko lolote la China kuhusu hiko kitendo cha Marekani?labda lakini china wao wamemuonya marekani asiptishe hyo meli yake kwan nao hawatakua wavumlvu.au ndo ubabe wa Trump
China wamesema 2018 wanampango wa kuanza kutengeneza hizo aircraft carrier tatu kwaajili ya ulinzi wa hilo eneo la Southern China. Alafu unakuta watu wanakuja na kumlinganisha China na Marekani kwa nguvu kijeshi. What a hilarious!!Unadhani ni jambo rahisi.....
Ni jambo linalotaka uwekezaji wa muda na hela za kutosha.....
Afisa wa China aliulizwa kuhusu uwezekano wa vita akasema pande zote 2 zitaumia hakuna atakayeshinda kivyovyote USA madhara atapata japo kiuwezo kampita China ,kuhusu vita hawawezi kupigana halafu juzi Trump kampigia simu rais Xi na kamuandikia barua ya kuzika tofauti na kufanya kazi kwa ushirikianoChina wamesema 2018 wanampango wa kuanza kutengeneza hizo aircraft carrier tatu kwaajili ya ulinzi wa hilo eneo la Southern China. Alafu unakuta watu wanakuja na kumlinganisha China na Marekani kwa nguvu kijeshi. What a hilarious!!
Mapadri wametoka wapi Hapa?MIMI SI PADRI WALA SI MKRISTO , MAPADRI WANAKUWA HAWAOI ISIPOKUWA WANAWEZA KUOLEWA, NA WAKRISTO NDIO WALIORUHUSIWA KUOANA MAKANISANI
Gay Catholic Priest Reveals He's Been Married To A Man For 14 Years, Is Non-Celibate
3 Other Christian Denominations That Allow Gay Marriage
Yeah kwa mpaka sasa hakuna vita ambayo haitakuwa na madhara kwa washiriki wote kwa hizi sophisticated weapons ambazo mataifa karibia yote matajiri wanazo especially Mass destructive weapons.Afisa wa China aliulizwa kuhusu uwezekano wa vita akasema pande zote 2 zitaumia hakuna atakayeshinda kivyovyote USA madhara atapata japo kiuwezo kampita China ,kuhusu vita hawawezi kupigana halafu juzi Trump kampigia simu rais Xi na kamuandikia barua ya kuzika tofauti na kufanya kazi kwa ushirikiano
Umezungumza vyemaHaswaa....kupiga doria maeneo yale tena kwa meli ya kivita ambayo ipo tayari kwa lolote ni dharau kwa China......ni tukio ambalo wizara ya ulinzi ya China inalifuatilia kwa karibu sana.....
Mchina yuko mbioni kuimarisha uchumi wake napia lengo la China ni kua superpower bara la Asia, ila pingamizi ni mmarekani na indiaKm China anajiamin nae apeleke meli vita na nyambizi zake pwani ya Amerka ,ili tuone manic zaidi. Mchina aache kabisa kunung'unika nae atumie nguvu kma Amerika.
kwamba china anampga mmarekani
HAWEZI HAWEZI HAWEZI.Hata iweje.Relaxe,mmarekani hajaanza leo kupatrol kule,na anajua akimisbehave lazima mchina atazamisha hiyo carrier group
Jeshi la maji la marekani ndilo huitwa Nacy seal!!??jeshi la marekani kitengo cha maji(us navy seal)limeanzisha operesheni maalamu kusini mwa china na meli yao ya kivita na yenye teknolojia ya hali ya juu(uss carl vinsion).
lengo la doria hii ni lipi?
SoJames mattis, naskia jamaa hajawahi kuwa na Mke wala mtoto
Kwamba kitengo cha maji( us navy seal) bwahahahahjeshi la marekani kitengo cha maji(us navy seal)limeanzisha operesheni maalamu kusini mwa china na meli yao ya kivita na yenye teknolojia ya hali ya juu(uss carl vinsion).
lengo la doria hii ni lipi?