Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
hahaha😂😂😂 Niliambiwa Babu zako walikuwa wanauza ngombe na mashamba ata kama ni kuku kaibiwa ill mwizi afungwe!
hahaha😂😂😂 Niliambiwa Babu zako walikuwa wanauza ngombe na mashamba ata kama ni kuku kaibiwa ill mwizi afungwe!
Ebu nipe sheria yeyote inayo ruhusu nchi moja kuingilia anga ya nchi nyingine.
Kufadhili vikundi vya kigaidi bila kusahau kuendeliza ballistic missile alizopigwa marufuku kwenye yale makubaliano.Ebu niambie ni sheria gani Iran ameivunja.
Iliyoharibiwa na Iran mwaka 20013 ni aina moja na hiiHahahaha siijui hio ya Iran....nazungumzia hii iliyotumika kumuua Qassim
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua huyo bwana aliuliwa wapi? Iran/IraqWadau kwa wajuzi wa mambo,nimekuwa najiuliza kwanini Jeshi la Iran lilishindwa kuzuia mauaji ya General wao Suleiman yaliyotekelezwa na Ndege za Marekani? Ina maana Jeshi la Iran ni dhaifu kiasi cha kushindwa kuziona Ndege za Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mq9 reaper ilishushwa na electronic warfare za Iran 2013 global hawk downed in 2019.Hii MQ 9 Reaper ni tofauti na ile Global Hawk iliyoangushwa na Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala so drone mpya hiyo br. I'll mda mrefu on combat miaka kibaoHuyo gaidi kamalizwa kiulaini tu kwa High-tech. Duh Altitude ya 50,000 ft ni zaidi ya 13,000 metres.
Sijui ni ndege zipi zinazoruka kwenye hiyo Altitude. Hiyo Drone nafikiri ni the ultra modern and very sophisticated na huyo Suleimani labda ndio ameibikiri na kwenda nayo mzima mzima.
Unasemea RQ-170 Sentinel ambayo ilishushwa mwaka 2011 kisha baadaye Iran ikaitengenezea copycats.Mq9 reaper ilishushwa na electronic warfare za Iran 2013 global hawk downed in 2019.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu nitajie hayo makundi ya kigaidi.Kufadhili vikundi vya kigaidi bila kusahau kuendeliza ballistic missile alizopigwa marufuku kwenye yale makubaliano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hii Sentinel ni stealth hivo ndo ngumu zaidi kudetect ukizingatia pia yenyewe ni recon drone. Afu Iran washawahi lipukiwa na drone ya Israel waliyoikamata Lebanon wakishirikiana na Hezbollah.Unasemea RQ-170 Sentinel ambayo ilishushwa mwaka 2011 kisha baadaye Iran ikaitengenezea copycats.
Iran iliishusha ile drone mwaka 2011 kwa kutumia mfumo wa 'Avtobaza' (Russian Avtobaza-M Electronic Intelligence System).
MQ-9 Reaper ni ndege nyingine tofauti na hiyo RQ-170 Sentinel unayoizungumzia.
Makubaliano gan yalompiga Marufuku IRAN Kutengeneza Ballistic Missile ?!...Kufadhili vikundi vya kigaidi bila kusahau kuendeliza ballistic missile alizopigwa marufuku kwenye yale makubaliano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wanachangia bila kufuatilia mambo wanasahau kama drone aina ilipigwa mwaka 2011 wanajisahaulisha ama hawafuatilii mambo.....
Semeni ukweli kama alitungua kwa mifumo yake ya KIIRANI Wivu Na Roho Mbaya VitawauaUnasemea RQ-170 Sentinel ambayo ilishushwa mwaka 2011 kisha baadaye Iran ikaitengenezea copycats.
Iran iliishusha ile drone mwaka 2011 kwa kutumia mfumo wa 'Avtobaza' (Russian Avtobaza-M Electronic Intelligence System).
MQ-9 Reaper ni ndege nyingine tofauti na hiyo RQ-170 Sentinel unayoizungumzia.
Mkuu akikutajia Huo Mkataba Na Kipengele Cha Hayo Makubaliano Naomba Usisahau Kunitag...Ebu nitajie hayo makundi ya kigaidi.
Na unitajie huo mkataba unaitwaje na ulisainiwa wapi na tarehe ngapi na mwaka gani.
Iran walikuwa wanaona kila kitu lakini hawakujua kama target ya US ilikuwa kwa ajili ya kumua Qasem Suleiman.Kwani zile rada zao hazifiki mpaka Iraq maana wapo karibu sana,pia Iran si wana drones nyingi tuu za upelelezi inakuwaje zilishindwa kuona hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali LA kitoto sana Ata mtoto WA nursery hawezi uliza Pumba hiziWadau kwa wajuzi wa mambo,nimekuwa najiuliza kwanini Jeshi la Iran lilishindwa kuzuia mauaji ya General wao Suleiman yaliyotekelezwa na Ndege za Marekani? Ina maana Jeshi la Iran ni dhaifu kiasi cha kushindwa kuziona Ndege za Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app