Kapumpuli
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 1,810
- 2,281
Kwa nyongeza, ni komandoo peke yake aliyefariki katika hii mission, wengine wote walirudi salama salimini...Nikusahihishe kidogo yule wa mission Entebbe ni kaka wa huyu kwa jina Jonathan Netanyahu. Na alipoteza maisha yake hapo hapo Entebbe