ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,158
Ungeacha uninga kidogo ungejua diamond,joti & mpoki wamekupita kila kitu sasa jiulize ujinga wao ndo umesababisha wakupite au kuna kitu wanakijua wewe hukijui!na kama kuna kitu wanakijua maana yake wana elimu ya hicho kitu,elimu sio vyeti...natumaini utajifunza kujifunzaKwasababu hizi
Mastaa wengi wa Tanzania wanawaza chupi na wowowo, mfano diamond ana mawazo gani chanya aliwahi kutoa yakakusisimua?
Joti au mpoki wana mawazo gani ambayo we unayakosa hapa?
Wolper na sepetu wana mawazogani chanya ambayo umeona umeyakosa hapa mpaka ukaomba uwepo wao,
Nakuambia kwamba hivo hujagundua kwamba wao wanaenda sehem ambayo itakuwa rahis kuuza miili yao kwa watu wanaojulikana,
Sasa unategemea wema alete shobo zake hapa kumpata BAK tindo Lizaboni Shark Malcom Lumumba Au kumpata nani hasa?
Maana hajui kipato chao wala sura, hajui cheo chao wala kazi,
Wanasema kuwa mjanja katika kuchagua soko, na wao soko lao haliko hapa