Ibrahim augustine
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 428
- 575
Kwa kipindi kirefu nilikua najiuliza na kutamani mastaa kutumia mtandao wa JamiiForums
Nilipenda sana kuwaona kina;
@Alikiba
diamond platnumz
wema sepetu
shilawadu
@Mr blue
*@Rais wetu*
Na wengine wengi kwani hii ni moja katika njia ya kukuza lugha yetu pia na kufanya JF ya kimataifa zaidi
Pia mastaa hao wapewe blue tick kama mitandao mingine
Lakini mastaa wengi wamejikita Facebook, Instagram na Twitter ambapo inaendeshwa na wazungu jambo ambalo sio zuri ila labda nisiwalaumu pengine labda hawaijui Jamii Forums.
Ningetamani sikumoja wa Tz wote waachane na Fb na kujiunga huku JF ingependeza sana.
Nawasilisha OVA!
Nilipenda sana kuwaona kina;
@Alikiba
diamond platnumz
wema sepetu
shilawadu
@Mr blue
*@Rais wetu*
Na wengine wengi kwani hii ni moja katika njia ya kukuza lugha yetu pia na kufanya JF ya kimataifa zaidi
Pia mastaa hao wapewe blue tick kama mitandao mingine
Lakini mastaa wengi wamejikita Facebook, Instagram na Twitter ambapo inaendeshwa na wazungu jambo ambalo sio zuri ila labda nisiwalaumu pengine labda hawaijui Jamii Forums.
Ningetamani sikumoja wa Tz wote waachane na Fb na kujiunga huku JF ingependeza sana.
Nawasilisha OVA!