Kwanini israel inaiyogopa hezbullah kuliko taifa lolote lile duniani

Mungu hajatuma jeshi kwa Hezbollah..

HEZBO Maana yake Chama
ALLAH Maana yake Mungu..
Kwa Kiarabu

Hichi kikundi kina nidhamu ya juu,katika ukandaashariki ya kati

Hivi sasa WASAUDI tumbo joto,Kuondolewa Trump Madarakani kimewapa wasiwasi

Biden inasemekana atarudi mezani kiongea na IRAN kuongelea kuhusu mikataba ya silaha za Nuclear..

Trump alikataa kukaa mezani na IRAN

Trump wakati huohuo alijaribu kuleta vita na IRAN akashindwa

Trump alipomuua Qaseem Soleiman kamanda mkuu wa vikundi vilivyoanziswa na IRAN,makusudiio yake ilikiwani kuanzisha Vita na Iran..

View attachment 1629933
Wanajiita jeshi la Mungu si kwa sabab Mungu kawatuma isipokuwa Kuna Jambo ambalo limehadithiwa kwenye Quran linalohusisha ushind wa jesh la Mungu ndio maana na wao wanajiita hivyo.
 
Screenshot_20201121-102841.png
 
Mwaka 2000,waliyatoa majeshi ya israel kutoka ardhi ya lebanon
Waliondoka baada ya kulikalia hilo eneo kwa miaka 20.

Japo mashambulizi ya wanaharakati yalichangia kwa wao kuondoka ila hali ya kisiasa ndani ya Israel ilisukuma zaidi hilo.
 
Waliondoka baada ya kulikalia hilo eneo kwa miaka 20.

Japo mashambulizi ya wanaharakati yalichangia kwa wao kuondoka ila hali ya kisiasa ndani ya Israel ilisukuma zaidi hilo.
Kama marekani na vietnam tu,,wananchi wakaona vijana wanazidi kufa vitani,ushindi hamna,hali ngumu hela inaishia vitani,pull back..
Ndo maana halisi ya kushindwa,,sio lazima waandamane wakilia na kupiga yowe,unapo retreat,maana yake umeshindwa
 
Hakika jamii forum imekua ni shule kwangu, endeleeni wachambuzi mimi naendelea kufatilia kila comments kwa ajili ya kujifunza na kujua mengi zaidi.
 
Kama marekani na vietnam tu,,wananchi wakaona vijana wanazidi kufa vitani,ushindi hamna,hali ngumu hela inaishia vitani,pull back..
Ndo maana halisi ya kushindwa,,sio lazima waandamane wakilia na kupiga yowe,unapo retreat,maana yake umeshindwa
...kama ndio hivyo nimekuelewa.

Unamaanisha unaweza kushinda mapigano lakini ukashindwa Vita..." You can win battles but ending up losing the war".
 
...kama ndio hivyo nimekuelewa.

Unamaanisha unaweza kushinda mapigano lakini ukashindwa Vita..." You can win battles but ending up losing the war".
Sasa hezbullah,hawajawahi kushindwa,,lengo la kuundwa baada ya israel kuikalia lebanon 1980 ilikuwa ni kuikomboa lebanon,na lengo lilitimia mwaka 2000,
Kushinda vita sio kuua watu wengi kuliko adui yako,bali ni kutimiza lengo la hiyo vita,
Lengo la israel vita vya lebanon 2006,ilikuwa ni kuifuta hezbullah,,lengo halikufanikiwa,licha ya israel kudondosha tani milioni moja za mabomu lebanon,mwishowe tena israel waka retreat
 
In 2006, Israeli forces were stunned to realize that the group had turned most of southern Lebanon into hardened fortifications that could not be seen by air.

Avi, a former IDF intelligence official who asked to be identified only by his first name, said: "In 2006 it became clear that after the IDF withdrawal from Lebanon, Hezbollah had fortified the entire south and it would be foolish to think these defenses have not been substantially increased in the years since that fight,said.

"Hezbollah has designed its military capability very carefully and with a singular focus: As long as rockets are landing on Israel and the Israeli people are living in bunkers, Hezbollah is winning."

"Hezbollah's leadership believes it can take the pain of a conflict longer than Israel can and they are probably right."

He describe Israel's counter-strategy as having three parts:

The threat that in a true escalation, Israel would attack the entire Lebanese state a fixed target rather than Hezbollah forces which are hard to pin down.
High-tech solutions like the Iron Dome rocket defense system. It has worked well in Gaza, Avi said, but it is not clear that it could withstand far larger, sustained barrages that Hezbollah could produce.
Occasional air strikes in Syria and sometimes Iraq, meant to destroy advanced weapons systems before Hezbollah's allies can get them to Lebanon. However, these strikes sometimes kill Hezbollah personnel and threaten to start a cycle of strikes and retaliation.
"It's a nice trap that the Iranians set for us, and I am afraid our leadership spent the last 30 years just blindly walking into it,said Avi, who worked in South Lebanon during the 1978 to 2000 occupation.

"This is why the most serious people in national security know that only negotiations with Iran over time can diminish this threat, in this case the Iranians and Hezbollah have established a level of deterrence that would have been unimaginable to the Israel of the 1970s."

Ironically, according to Avi, what had been keeping the situation in check was the extent of Iran's commitment to the Hezbollah project.

"Iran has spent billions of dollars and thirty years developing and supporting the Hezbollah model and the fruit of this effort is a strong deterrence that says if you hit Iran or its nuclear program, we can strike back and hit Tel Aviv and even maybe Israel's nuclear facilities,said Avi.

"But both sides know that an escalation like this can be threatened many times but used precisely once, as the next major war will be to the end of this problem. Iran did not develop this capability to use it lightly."

Business Insider
 
Ahahahahaha bongo kila mtu anajua
Ndo utaratibu,
Rais ni mkristo.
Waziri mkuu ni suni.
Spika wa bunge ni shia.
Majority serikali inaongozwa na muungano wa christian na shia ndo wamo majority serikali iliyopita,,kwasasa serikali bado haijaundwa kwani kuna mkwamo.
 
Hizbollah hawana serikali/dola na ni vigumu kuwaadhibiti. Uimara wa Hizbollah unatokana na udhaifu wa serikali ya Lebanon na kwa sababu hiyo hawawezi kuruhusu Lebanon iwe imara.
Kwa sababu hiyo ni vigumu na hatari kupambana na Hizbollah, ndio maana huwezi kupambana na Hizbollah bila kuiathiri Lebanon na watu wake maana huko ndimo makazi rasmi ya Hizbollah.

Vv
 
Hizbollah hawana serikali/dola na ni vigumu kuwaadhibiti. Uimara wa Hizbollah unatokana na udhaifu wa serikali ya Lebanon na kwa sababu hiyo hawawezi kuruhusu Lebanon iwe imara.
Kwa sababu hiyo ni vigumu na hatari kupambana na Hizbollah, ndio maana huwezi kupambana na Hizbollah bila kuiathiri Lebanon na watu wake maana huko ndimo makazi rasmi ya Hizbollah.

Vv
News
|
Hezbollah
Hezbollah: ‘No easy feat’ but Lebanon gov’t must include everyone
Hassan Nasrallah insists on its ally, the FPM take part in next government, with consultations starting on Monday.


In a televised address, Hezbollah leader Hassan Nasrallah insisted on Lebanon's largest Christian political bloc to take part in cabinet [Al Jazeera screenshot]
13 Dec 2019
Hezbollah leader Hassan Nasrallah has said the formation of a new government in protest-hit Lebanon will be “no easy feat”, adding that the new cabinet must bring all sides together.

In a televised speech on Friday, the leader of the Shia group insisted that its ally, President Michel Aoun’s Free Patriotic Movement (FPM) – Lebanon‘s largest Christian political bloc – take part in the cabinet.

KEEP READING
 
Back
Top Bottom