agala
Member
- Sep 13, 2011
- 57
- 12
Walionzisha huo mfumo wetu wenyewe wanafanya UPDATE kila siku kwakuongeza specialization
kila ya kukicha mfano kuna kozi ya Degree inaitwa Front End Engineering ambayo ilikuwa sehemu ndogo sana ya
computer programming lakini sisi hatubadiliki jamani tusipo liangalia hilo swala tutabaki kununua zitokazo nje hatutengenezi chetu ng'oo
lakini juhudi zetu binafsi kunawatu wanaitumia hiyo course hapa nchini watu wa Tanzaniakwetu na Jigambeads
kila ya kukicha mfano kuna kozi ya Degree inaitwa Front End Engineering ambayo ilikuwa sehemu ndogo sana ya
computer programming lakini sisi hatubadiliki jamani tusipo liangalia hilo swala tutabaki kununua zitokazo nje hatutengenezi chetu ng'oo
lakini juhudi zetu binafsi kunawatu wanaitumia hiyo course hapa nchini watu wa Tanzaniakwetu na Jigambeads