Battor
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 1,437
- 2,510
Genius hajitambulishi kama ni genius bali watu ndo watamsoma ni genius, ukijiona wewe ni great thinker tambua una upeo mdogo sana wa kufikiri ila unajifananisha na mtu fulani ambaye anasomeka kuwa ni great thinker. Ubongo ulio empty ndio ucopy na kujifake kuwa someone else. Majority ya wanaojiita great thinker ni vilasa wajanja wajanja.Mitandao ya wenye akili ndogo hyo huwezi kuta great thinker anaitumia hyo
Utawasoma vipi? Ni wale wanaopenda kuwabeza wenzao na kuwaona vilaza.